MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Jidanganye hivyo vitoto hapo kati balaaembu acheni upuuzi, huyu dogo hawezi kuvaa viatu vya ndikumana labda kama wanasagana
Ulikuwa ni wa ndoa ya irene uwoya na dogo janja wakaufuta bila sababu afu huu wameuruhusuUzi wako
uzi wako ulikuwa unahusiana na hawa kunguru wasiofugika wa bongo movie au ni kuhusu MURO!
Hawa mod siwaelewi aisee yaan nyuz zangu wanakuwa wanazifuta bila sababuKumbe waliufuta??niliuona jana
PoleHawa mod siwaelewi aisee yaan nyuz zangu wanakuwa wanazifuta bila sababu
Mimi nilitoa ule uz nikiwa na ushaid wa bongo planet ya eatv huyu kaweka huu uz hana hata ushahid na wameuacha
Asifiaye mvuwa imemnyesheana huyo dada
jamaa zake wa zamani wamebarikiwa na muumba kuwa na siraha za maangamizi.Hbab, Ndikumn au na Dogo naye ana siraha kama za Mkorea nini
Siku hizi umri sio inshu,kama hauna kibamia tunakuweka kwny kundi letu,I mean the chosen onesHivi mnajua siamini,,dogo janja ana miaka mingapi si kavulana kabisa hakp rika la young d
Hao ndio anaweza kuwapata bado hawajielewi, wenye akili zetu hata wake tulionao tunatamani kuwaacha kila mtu aishi kwa amani tusipunguziane miaka ya kuishi.Hivi mnajua siamini,,dogo janja ana miaka mingapi si kavulana kabisa hakp rika la young d
Dogo janja alisema alimikia Irene long time. Si kujua kuwa Irene ameamua kumpa tamu[/QUOT