Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ina maana mtoa post ni jamii moja na Amber Ruty????Mkuu wa mkoa anakuhitaji ofisini na mwenzako James Delicious
Ukali Wake Kuliko Night Club Zote Hapa Tz Ni Upi?Madam original Irene Uwoya milango ya neema inazidi kumfungukia kila kukicha.
Club ya Irene Uwoya ambayo itafunguliwa rasmi mwaka huu december 25 itakuwa ni Club kali kuliko night club yoyote ile hapa nchini.
Night Club hiyo ipo Sinza na ipo katika hatua za mwishoni mwishoni kukamilika
View attachment 916596
Mm nikimuuliza huwa anantishia ataniripoti kwa uongozi hyu madam!Mkuu wewe ni jinsia gani lakini ?
Kuwa dogo janjaUwoya nikisikia katajwa jamani mie nasisimkwa, Huyu dada mzuli jamani aisee
Night club kali iwe Sinza basi hiyo ni Ambiance!Ukali Wake Kuliko Night Club Zote Hapa Tz Ni Upi?