Irene Uwoya ampa onyo kali Dogo Janja kuhusu mpango wake wa kuoa wake wanne

yani hii Comment imenipotezea mawazo yangu niliotaka niandike aise et umesema binjua binjua simi? hahahahhahahahha
 
Kwani ni mama ake jaman
Its not a big deal
 
This is lame reasoning bhana! Khaa!
 
Sasa maneno yote hayo ya nini? Acha watu wafurahie Maisha yao. Mbona huwazungumzii wanaume wazee wenye kuoa mabinti sawa na wajukuu zao?
Ina maana kwa tafsir yake Irene ana miaka 44!
Ki ukweli hapa ame over react tuu
 
Achana na mfumo dume bro..mbona sijakutana na kidume kinadunda mtaani mkia mbele! BTW maisha ya watu yasikushughulishe.
 
Anapewaga hadi mambo ya uwani.dogo anafwira jimama
 
naona ile kiki imedoda sasa wamekuja na kiki nyingine eehh
 
asante kwa plan huwa yuko baa gani ,tuwe serious mkuu
 
Vipi
Vipi hupatii picha mbaba mtu mzima pumbu zimekomaa anamvulia boxer mtoto wa miaka 20 anayeweza kumzaa , Waswahili acheni double standards
 
Wivu tu umekujaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…