Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Status
Not open for further replies.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Irene wala hatoki na Rais wa Kenya kama wengine wanauosema. Irene Uwoya anatoka na Rais wa GSM AKA Mmiliki wa yanga, GHALIB.

Wana nyumba yao special kwa ajili ya kulutana na kufanya yao. Yani Irene haishi in that house ila ni kwa ajili ya kumeet tu Wakitaka kuwa free huwa wanasafirI.

Irene na yeye sasa hivi anachezea hela ya Ghalib kama . (hiyo ni topic ingine for another day.

lla unaambiwa anapendwa na Ghalib balaaa.

Wakitaka kuwa ftee hao wanasafiri tena hawasiflri ndege moja. Yani ni mapenzi ya Sirl mnooo, feel bad kuwaambieni maana ni kama namwaribia flani ila sasa ndo ajira yangu ntafanyaje?? Cha msingi ni kwamba simsingiziii mtu jambo.

Ndo hivyo jamani Irene kwa sasa mnaweza kumuita Mrs. Yanga,


lla jamani hakuna sponsor anajua kumpa mchepuko good time kama Ghalib_ maana nikiwaangalia na wenzie Irene wooote wanakula bata refuuuuuuu,

Mi ushauri wangu ni mmoja tu. Irene fanya ya maana na hiya pesa ya mwarabu, hakuna Star aliechezea pesa Tz kama Wema Sepetu.

Wema alitakiwa awe na ma-apartments ya kutosha. lla si haba now kaamka and she is trying. ila watanzania ni wambea nyie, mmenidai hii habari utasema deni?
1640612824616.png


1640612852017.png
 
Ni lazima niwe nayo hii.

Video zote chafu chafu za madudu wanayofanga viongozi ambazo haziwezi kuwekwa youtube, fb wala humu jf, utazikuta kirahisi tu kwa M.K.

hakuna haja ya connection, nazama kwenye app fasta tu 😁😁

Umeiona video ya mheshimiwa flani akifanya unyama chumbani, yeye peke yake ila mabinti wawili??

Umeiina video ya yule kijana aliefumaniwa na mke wa mtu akapakwa mafuta ya ky akaanza kushughulikiwa??

Umeiona video ya yule mwamba alietembeza kichapo kwa ex wake???

Naanzaje kuacha kulipia ki elf 2 kwa mambo haya mazito ambayo siwezi kuyakuta sehem nyingine??
duh...umepagawa kabisa mkuu!!!🙄
 
Haya sasa ndo nawapeni hivyo.

Irene wala hatoki na Rais wa Kenya kama wengine wanauosema. Irene Uwoya anatoka na Rais wa GSM AKA Mmiliki wa yanga, GHALIB.

Wana nyumba yao special kwa ajili ya kulutana na kufanya yao. Yani Irene haishi in that house ila ni kwa ajili ya kumeet tu Wakitaka kuwa free huwa wanasafirI.

Irene na yeye sasa hivi anachezea hela ya Ghalib kama . (hiyo ni topic ingine for another day.

lla unaambiwa anapendwa na Ghalib balaaa.

Wakitaka kuwa ftee hao wanasafiri tena hawasiflri ndege moja. Yani ni mapenzi ya Sirl mnooo, feel bad kuwaambieni maana ni kama namwaribia flani ila sasa ndo ajira yangu ntafanyaje?? Cha msingi ni kwamba simsingiziii mtu jambo.

Ndo hivyo jamani Irene kwa sasa mnaweza kumuita Mrs. Yanga,


lla jamani hakuna sponsor anajua kumpa mchepuko good time kama Ghalib_ maana nikiwaangalia na wenzie Irene wooote wanakula bata refuuuuuuu,

Mi ushauri wangu ni mmoja tu. Irene fanya ya maana na hiya pesa ya mwarabu, hakuna Star aliechezea pesa Tz kama Wema Sepetu.

Wema alitakiwa awe na ma-apartments ya kutosha. lla si haba now kaamka and she is trying. ila watanzania ni wambea nyie, mmenidai hii habari utasema deni?
View attachment 2059502

View attachment 2059503
Hiyo sio tetesi ni ukweli kabisa na ushahidi upo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom