Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Utulivu wa Kiungo kipi cha mwili?Hongera kwake, ndoa huleta utulivu
Ana bahati ya ndoa lakini ni vile hazidumu
Hapo unakuta mind yake inasema. "leo ntakutafuna hatari wew kaka"
Kama Malaya wa dudu hawezi tulia , kama wa pesa akipata penye nazo wanatulia kabisa. Tumtakie heriMalaya haolewi, anatafuta fursa. Mara kwa warundi, mara kwa kondeboys, mara waarabu
[emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mambo ya tigo hayoMwarabu........Express yourself.
Mbona humtendei haki na huyu jamaa Hance Mtanashati aisee...?
MWAARABU KAOPOA KONGORO NDANI NA NJE. U woya Sasa ni mboga ya saa mbili kasoro!!!!Kuna tetesi eti mrembo huyo wa tasnia ya bongo movie kuwa ameolewa kimya kimya na mwarabu mmoja mwenye pesa zake.
View attachment 1245134
Tusaidiane jamani.