Makambovich
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 207
- 200
Dogo kaondoka na "FAIDA" ya "DALIKI MOCKO"....😀😀😀😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaah hii comment yako imenifanya na mimi nicheke tu kwa kweli.He he he he
Usanii kazi kweli nawaza 🤔 baadhi ya watu wanaupendea nini,yaani Maisha yake yanaendeshwa na viumbe wa intagram.Ubuyu unazidi kunoga .
Hakikisha hulali leo mpaka kieleweke ,weka notification on ile twende sawa.View attachment 987958
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili Za UxkuBahati nzuri sheria ya mtandao inafanya kazi yake bila hivyo hii sinema ingesindikizwa na clip za Dogo akila papuchi ya dada
Ina maana dogo saivi ana mkono wa nyaniZamani sana kaachiwa MKONO WA NYANI.
Mkono wa nyani ndo niniIna maana dogo saivi ana mkono wa nyani