[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]DALLY KIMOKO aka GRIDI YA TAIFA aka DRUM aka WAYA aka MINYENYERE aka MINJINGU aka MDUDU aka NGOMA
Buda unafeli, yani Juliana humjui hadi leo? Feruzi na kuimba kote kule starehe hujamjua tu.
Huu ugonjwa umejipatia usupa staa sana kama brand ingekuwa na multimillions!DALLY KIMOKO aka GRIDI YA TAIFA aka DRUM aka WAYA aka MINYENYERE aka MINJINGU aka MDUDU aka NGOMA
Wametemana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha ama kwel ujana maji ya motoWametemana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugeni pia wa kuwemo kwenye hii mitandao unachangia sana, maana ndiyo kwanza nina miezi km mi5 hv tangu nijiunge humu Chifu.Buda unafeli, yani Juliana humjui hadi leo? Feruzi na kuimba kote kule starehe hujamjua tu.
Hahah Juliana hilo jina lilikuwepo hata kabla ya huu mtandao kuwepo mkuu, labda kama we ni chalii mdogo kiumri.Ugeni pia wa kuwemo kwenye hii mitandao unachangia sana, maana ndiyo kwanza nina miezi km mi5 hv tangu nijiunge humu Chifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooo, minyenyere tena!!DALLY KIMOKO aka GRIDI YA TAIFA aka DRUM aka WAYA aka MINYENYERE aka MINJINGU aka MDUDU aka NGOMA
Ehee chikichiki ehee chikichiki SOma hiyoooooooo!!Ohooo, minyenyere tena!!
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
UWOYA anaenda kwa BABY MPYA kumpa MKONO WA NYANI.View attachment 990733
Hans ujumbe wako kutoka kwa uwoya
Kama ni kweli, hiyo ni hatari.UWOYA anaenda kwa BABY MPYA kumpa MKONO WA NYANI.
UWOYA anaenda kwa BABY MPYA kumpa MKONO WA NYANI.