Irene Uwoya

Status
Not open for further replies.
Currently Active Users Viewing This Thread: 29 (11 members and 18 guests)

??? - Uzuri wa Mke ni Urembo - Tabia baadaye - Tutarekebishana ndani-kwa-ndani ?????

kak kuna tabia zingine hazirekebishiki ndani ya ndoa hata baada ya kufa.....

1. kama demu amezoea "umalaya"/ kutoka na wanaume wengi at the same time hiyo amezoea hawezi kuacha hata ukumuoa lazima atakuwa anaruka debe kama kawa.

2. demu kama amezoea kuhongwa na kupewa pewa mahela kwa sana, na wewe unamuoa hela yenyewe ya ngama, jua atawafata tu wenye mafezwa wala hawezi kubadilika eti aanze kukupenda mwenye hela ya mawazo.

3. demu kama tabia yake ni uvivu yani kazaliwa yeye ni kukaa tu kama yai lasubiri liondolewe na kupelekwa sehemu nyingine basi hiyo ndo tabia yake kumbadilisha ni ngama.... n ther est za tabia ambazo ni hatarishi kwa afya yako zinazoweza kuku'cost kwa kuoa dem kisa sura badala ya tabia yake
 
Acha uwoga wa kuchukua mashori wakali.......
vicheche vingi kuku za kienyeji navyo siku hizi havishikiki kitu kama hiki nina imani nikikiweka ndani kitatulia.....ujue kukihendo tu
Namba vipi mkuu Vica?
3. demu kama tabia yake ni uvivu yani kazaliwa yeye ni kukaa tu kama yai lasubiri liondolewe na kupelekwa sehemu nyingine basi hiyo ndo tabia yake kumbadilisha ni ngama....
Mkuu vipi unataka kukibebesha ndoo ya maji kichwani kifaa kama hiki au unataka abebe kiroba cha mahindi kichwani akasage km 10? hata Mungu hatapenda utamuotesha vigimbi
 
Upuuzi mkubwa

Enzi za mwalimu haya hayakuwepo. Haikuwa rahisi kumjadili mtoto wa kike katika vyombo vya habari hata kidogo. Leo tunapoteza muda mwiiingi tu kumjadili.
WIZI MTUPU

Niwatawachapa vibao mimi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!A
 
Endelezeni upuuzi lakini nawahakikishia kuna IP hazitakanyaga hapa KAMWE
 
Nah, PainKiller will heal you from all these pains.

Yo Yo nimemzawadia ile kitu ulopata enzi zileeee....

Ahahahahaha...aisee ile kitu inaumiza sana daaah! lazima muda wake ukiisha atahitaji painkillers.....ile kitu si mchezo aisee.....
 
tupo nje ya mada wakuu, kuna mweshimiwa aliomba namba ya huyo kigoli, kama umeshapewa namba kinyemela basi tupeane feedback, maana hayo ni mambo ya kujaribu
 
tupo nje ya mada wakuu, kuna mweshimiwa aliomba namba ya huyo kigoli, kama umeshapewa namba kinyemela basi tupeane feedback, maana hayo ni mambo ya kujaribu
nami pia niliiomba......vica kaipata kaingia nayo mitini...
 

Mkuu vica ukishampa habari hizo njema naomba namba yake please nina mambo nataka nitete nae faragha.

Nisaidieni wakuu, hapa ilikuwa ni tangazo la biashara gani au inatangazwa biashara ya nini?
 
demu mwenyewe mbona mmbovu tuu/

she is not DYME material hata kidogo pamoja na kujada PODA usoni still naona hana kipya...ohhh SHE IS ALSO FAT ndio nishalisema hilo



sasa linganisheni hilo li WHALE aka IRENE na hao ma sista hapo juu amabo wamevaa tuu na kutoka bila make up wala nini

mwenye macho haambiwi tazama
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…