Irene wa capital fm hewani sasa hivi unazengua,mnazengua sana

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
dah nilitune nikakutana na nyimbo za dansi ghafla mtangazaji anaitwa Irene kakatiza kaanza kuongea,15 minutes sasa utadhani ni mahubiri anaongelea jinsi watu wasivyoweka siri
sijui ni mambo yao ya kike ya mtaani kavileta studio? yaani ushaongea point imeeleweka bado unarudiarudia
MBAYA ZAIDI CAPITAL FM ACHENI USHAMBA KAMA MTANGAZAJI ANAAMUA KU HUBIRI WEKEN BASI SOUNDTRACK KWA CHINI A.K.A BED MUSIC/BACKGROUND SOUND
mru anaongea 20 minutes kavukavu ,duh
 
Vunja redio .kuu wasiwachanganye


yes bishoo haswaaa
redio ya fm unatangaza bila background music kwa mbalii hata ukimeza mate ifunikiefunikie? washamba kweli hawa jamaa halafu demu kaongea 22 minutes utadhani kuna mtu anamsuta huko mtaani
 
redio ya fm unatangaza bila background music kwa mbalii hata ukimeza mate ifunikiefunikie? washamba kweli hawa jamaa halafu demu kaongea 22 minutes utadhani kuna mtu anamsuta huko mtaani
Itakua anataka dudu uyo c bureee mngeswee sana


yes bishoo haswaaa
 
Radio za bongo land waandishi na watangazaji wapo shallow sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…