Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Noma kweli !Polizi wa ziro wanaugulia moyoni hapo
Yee baba, ndiyo style yetu tunapokimbiza mwizi hapa Buguruni.Lakini bila kelele yoyote ile , ni mwendo wa kimya kimya tu .
Maeneo uliyoyataja hayana njaaWahehe, wachaga, wanyakyusa na wahaya sijui CCM iliwakosea nini, maana wanaitandika mbele na nyuma.
Na wote tuseme ameeeenMungu ibariki CHADEMA
Kwa ujumla ni Watanzania wote kasoro Wagogo,wao wameridhika na Viwavi jeshi kuwa mlo kamiliWahehe, wachaga, wanyakyusa na wahaya sijui CCM iliwakosea nini, maana wanaitandika mbele na nyuma.
Ha ha ha umenena vyema mkuuKwa ujumla ni Watanzania wote kasoro Wagogo,wao wameridhika na Viwavi jeshi kuwa mlo kamili
Kule Kongwa ndio balaa. Tshirt tu mtu anauza utu wakeMaeneo uliyoyataja hayana njaa
watu wana usongo na CCM/serikali. we acha serikali iwaonee Bawacha kama wanavyofanya. Watu wanaona haki ikivunjwa wazi wazi kwa kiburi cha madaraka, watajutia siku ikifikaUsajili wa wanachama wapya kwa ile njia ya kisasa iitwayo CHADEMA DGITAL Mkoani Iringa unaendelea kwa kasi ya Kutisha , Lakini bila kelele yoyote ile , ni mwendo wa kimya kimya tu .
Jambo la kufurahisha ni kwamba vibanda vya usajili huo , pia vimekuwa sehemu ya uhamasishaji wa Chanjo ya UVIKO-19
View attachment 1962490
Dar tunasajilia wapii??Noma kweli !
Okey.Uliza Ofisi yoyote ya Chadema iliyo karibu yako
Wala si siku nyingiwatu wana usongo na CCM/serikali. we acha serikali iwaonee Bawacha kama wanavyofanya. Watu wanaona haki ikivunjwa wazi wazi kwa kiburi cha madaraka, watajutia siku ikifika