Iringa for the first time in my life

Naogopa sana baridi nimejihami na vijacket nlikuwa nimevitunza miaka kibao ikabidi nikavifukue na zile shirts zenye 2 core
Jacket nlilisahau kwenye bus so nipo tu nataka nitoke kuzurura kidogo saiz. Ila hoteli leo changamoto iringa imetapika wageni wengi balaa nimekuja njia nzima magari ya serikali tu ndo mengi
 
Nipo iringa lodge, kupata gest ni changamoto tika jana kila mahari watu wamelipia 10 days
 
Safari yangu ya iringa ilikua nzuri sana, nimeipenda iringa pamechangamka na biashara zinafanyika hadi usiku mnene
 
Iringa pazuri sana.
Zamani nilikua napita hapo kwenda dom toka kusini,
Siku mvua za hatari zikanyesha Tupo Iringa stendi hapo.
Bus tunasubiri king-cross halifiki siku mbili tupo pale.
Konda aliyekata tkt tukamkuta kilabuni piga sana ndo akarudisha nauli.
Nikapanda shalawambe kuunga unga,
Story ni ndefu sana
Ila ntaishia hapo.
 
Safari yangu ya iringa ilikua nzuri sana, nimeipenda iringa pamechangamka na biashara zinafanyika hadi usiku mnene
Mkuu acha utani,Iringa ni sehemu gani pamechangamka kibiashara na watu walivyo wachache,sio miyomboni Wala mashine tatu,ila kwa mandhari ni mji mzuri sana,Mungu akijalia ntaishi uzee wangu Iringa,bela vahungilage kukaya
 
Maeneo tulivu nenda sunset hotel, backyard lounge, savanna,mount royal hotel,n.k
Mziki nenda Miami, royal tour,warm up, luxury,n.k
NB: Nitafute sinywi bia zaidi ya 4
Ahahaha..aisee..
 
Mm sio vitu vyangu kuenda bar, japo huwa nagonga kidogo sana ila sipendi bar za makelele so huwa sitoki tu mara kwa mara. Kuna maeneo kama coral reefs palivyo mida ya usiku ndo napenda sikupata mandhali kama ile iringa, naoenda pia live band
 
Mm sio vitu vyangu kuenda bar, japo huwa nagonga kidogo sana ila sipendi bar za makelele so huwa sitoki tu mara kwa mara. Kuna maeneo kama coral reefs palivyo mida ya usiku ndo napenda sikupata mandhali kama ile iringa, naoenda pia live band
We ni me au ke,maana unavyoandika kimadeko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…