Deog
JF-Expert Member
- Jan 14, 2014
- 235
- 63
Salam!
Huduma ya kupata TOKEN za maji uliyonunua kwa njia ya mtandao ni shida.
Unanunua maji ni kama una bet, inaweza usipate sms ya token, na ikirudi huchukuwa masaa.
Kupiga huduma kwa wateja simu yako mpaka ipokelewe ni sawa na ku-bet nako.
Hela imeenda, unahitaji maji hupati, unawapigia wakupe maelekezo hawapokei na ni tatizo la muda mrefu.
Waziri wa Maji, tusikie kilio chetu wana Iringa huku.
Huduma ya kupata TOKEN za maji uliyonunua kwa njia ya mtandao ni shida.
Unanunua maji ni kama una bet, inaweza usipate sms ya token, na ikirudi huchukuwa masaa.
Kupiga huduma kwa wateja simu yako mpaka ipokelewe ni sawa na ku-bet nako.
Hela imeenda, unahitaji maji hupati, unawapigia wakupe maelekezo hawapokei na ni tatizo la muda mrefu.
Waziri wa Maji, tusikie kilio chetu wana Iringa huku.