LGE2024 Iringa: Mkuu wa Mkoa Serukamba asema changamoto za Uchaguzi zimetatuliwa vyema katika mkoa wake

LGE2024 Iringa: Mkuu wa Mkoa Serukamba asema changamoto za Uchaguzi zimetatuliwa vyema katika mkoa wake

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba, amepongeza mwenendo wa upigaji kura katika mkoa huo, akieleza kuwa mchakato huo umekwenda vizuri licha ya baadhi ya changamoto zilizojitokeza. Serukamba amesema changamoto hizo zimeshughulikiwa haraka ili kuhakikisha uchaguzi unakuwa wa huru na haki.

Serukamba amesema hayo Novemba 27, 2024 mara baada ya kupiga kura katika mtaa wake wa Shule ya Msingi Gangilonga mkoani humo, ambapo aliwataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura kwani ni haki yao ya kikatiba.
 
Back
Top Bottom