Iringa: Mwanakwaya adakwa akidaiwa kumdhalilisha kijana wa miaka 14

Iringa: Mwanakwaya adakwa akidaiwa kumdhalilisha kijana wa miaka 14

Kikwajuni One

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
13,149
Reaction score
6,994
Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limamshikilia mwanakwaya mmoja wa Parokia ya Mshindo ya Kanisa Katoliki mini Iringa kwa tuhuma za kumdhalilisha kijana wa miaka 14 ambaye alimwajiri kumuuzia Duka lake.

Kaimu kamanda wa Polisi wa mkoa wa Iringa, Alfred Mbena anesema mtuhumiwa huyo Blass Nicholas maarufu kama Matowa mkazi wa Mtaa wa Kitasengwa mini Iringa amefanya tukio hilo Juni 9,2024 majira ya usiku.

kwa mujibu wa Kaimu Kamanda,siku ya tukio mwanakwaya huyo alirejea usiku na Kugonga mlango wa chumba anacholala mfanyakazi wake wa dukani na kumlazimisha kulala naye chumbani kitandani na Kisha kumfanyia unyama huo.

Mtuhumiwa alimsababishia kijana huyo maumivu sehemu za siri na hivyo kuamua kumueleza mama yake mlezi.Mtuhumia amekamatwa
 
Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limamshikilia mwanakwaya mmoja wa Parokia ya Mshindo ya Kanisa Katoliki mjini Iringa kwa tuhuma za kumdhalilisha kijana wa miaka 14 ambaye alimwajiri kumuuzia Duka lake.
Mtuhumiwa huyo Blass Nicholaus maarufu kama Matowa,mkazi wa Mtaa wa Kitasengwa mjini Iringa.Amefanya tukio hilo Juni 9, 2024 usiku.
Mwanakwaya huyo alirejea usiku na kumgongea kijana huyo chumbani kwake,na kulala naye kitanda kimoja,na kumfanyia unyama huo,na kumuumiza sehemu zake za siri.Mtuhumiwa amekamatwa.
 
Screenshot_20240614-192200.jpg
 
parokia ya mshindo! so mwanakwaya akaamua akamshindilie kijana wa watu!..
vijana wakiume mara hii kazi tunayo tunabakwa na wadada mpk tunaumizwa mbona kama dunia imeanza kutugeukia hivi...😀
 
Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limamshikilia mwanakwaya mmoja wa Parokia ya Mshindo ya Kanisa Katoliki mjini Iringa kwa tuhuma za kumdhalilisha kijana wa miaka 14 ambaye alimwajiri kumuuzia Duka lake.
Mtuhumiwa huyo Blass Nicholaus maarufu kama Matowa,mkazi wa Mtaa wa Kitasengwa mjini Iringa.Amefanya tukio hilo Juni 9, 2024 usiku.
Mwanakwaya huyo alirejea usiku na kumgongea kijana huyo chumbani kwake,na kulala naye kitanda kimoja,na kumfanyia unyama huo,na kumuumiza sehemu zake za siri.Mtuhumiwa amekamatwa.

dooh ,ulawiti tena
mkuu why umtambulishe kama mwanakwaya
 
Back
Top Bottom