Irrigation

Irrigation

ASHA NGEDELE

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
784
Reaction score
327
Habari wadau,

Naomba ushauri.

Je naweza kutumia Tank moja (mfano la lita 5000) lililo juu ya mnara kusambaza maji eneo lenye ukubwa wa ekari hadi 8?

Tank liko kwenye mnara wa futi 12.

Kama inawezekana je nitumie ujuzi gani ili maji yafike umbali wa hadi 350m kwa rate inayoridhisha?

Kuna fundi nimeongea naye kanishauri nikajenge mnara mwingine na ninunue tank ingine ili maji niwe nayasafirisha kwa pump kwenda tank ingine

Asante
 
Kwanza kabisa inategemea unataka kumwagilia kwa kutumia mfumo gani,mfano kama utatumia sprinkler irrigation system ni lazima utahitaji pump kuweza kupata pressure ya kutosha kuweza ku run hizo sprinkler.

Kama utatumia drip irrigation kwa mnara wenye futi 12 utaweza kupata pressure ya 0.36 bar,Hii pressure na tank lako (lita 5000) vitatosha kumwagilia vizuri eneo la ekari moja.Kuweza kumwagilia shamba lote la ekari 8 utahitaji kutumia pump otherwise uongeze matank.Kwa ushauri na shughuli zote za umwagiliaji unaweza kuwasiliana nasi kupitia +255752022108.
 
Kwanza kabisa inategemea unataka kumwagilia kwa kutumia mfumo gani,mfano kama utatumia sprinkler irrigation system ni lazima utahitaji pump kuweza kupata pressure ya kutosha kuweza ku run hizo sprinkler,Kama utatumia drip irrigation kwa mnara wenye futi 12 utaweza kupata pressure ya 0.36 bar,Hii pressure na tank lako (lita 5000) vitatosha kumwagilia vizuri eneo la ekari moja.Kuweza kumwagilia shamba lote la ekari 8 utahitaji kutumia pump otherwise uongeze matank.Kwa ushauri na shughuli zote za umwagiliaji unaweza kuwasiliana nasi kupitia +255752022108.
Asante ila embu nielimishe uzuri zaidi pls. Una maanisha kwa ekari nane lazima niwe na simtanks 10? Sasa mbona same tank inamwagia ekari 2 kwa pressure nzuri tu?

Natarajia kutumia system ya drip irrigation
 
Kwanza kabisa inategemea unataka kumwagilia kwa kutumia mfumo gani,mfano kama utatumia sprinkler irrigation system ni lazima utahitaji pump kuweza kupata pressure ya kutosha kuweza ku run hizo sprinkler,Kama utatumia drip irrigation kwa mnara wenye futi 12 utaweza kupata pressure ya 0.36 bar,Hii pressure na tank lako (lita 5000) vitatosha kumwagilia vizuri eneo la ekari moja.Kuweza kumwagilia shamba lote la ekari 8 utahitaji kutumia pump otherwise uongeze matank.Kwa ushauri na shughuli zote za umwagiliaji unaweza kuwasiliana nasi kupitia +255752022108.
Mkuu ungeendelea kudadavua hayo maelezo ingetufaa wengi
 
Asante ila embu nielimishe uzuri zaidi pls. Una maanisha kwa ekari nane lazima niwe na simtanks 10? Sasa mbona same tank inamwagia ekari 2 kwa pressure nzuri tu?

Natarajia kutumia system ya drip irrigation
Hapana,sio lazima kuwa na simtanks 10,Kitaalamu tunashauri Tank lenye ujazo wa lita 5000 kumwagilia shamba lenye size ya ekari moja.Iko hivi, kwa drip zenye spacing mfano 30cm na flow rate ya 1.5 l/h utahitaji tank lenye ujazo wa lita 20000 ili kumwagilia shamba la ekari moja kwa lisaa limoja.

Tofauti ya mtu anayetumia tank la lita 5000 kumwagilia shamba la ekari moja na wewe unayetumia tank la lita 5000 kumwagilia shamba la ekari mbili kwa kutumia mfano wa drip zenye spacing ya 30cm na flow rate ya emitter ya 1.5l/h iko hapa.

Huyu wa kwanza yeye atatumia hili tank kumwagilia shamba la ekari moja kwa muda wa dakika 15 na wewe(lita 5000 kwa ekari 2) utatumia hili tank kumwagilia kwa dakika 7 na sekunde 30.Kama unalima zao linalohitaji maji mengi utahitajika ku refill hilo tank kila baada ya dakika 7 na sekunde 30.

Ukitumia kumwagilia shamba kubwa zaidi ya hapo unaweza kupata tatizo la pressure pia,Maji yanaweza yasifike vizuri baadhi ya blocks hasa blocks zilizo mbali na tank.

Kikubwa ni vyema kupata wataalamu maana kufunga hii system lazima design kutokana na shamba lilivyo ifanyike.
 

Attachments

  • drip.jpg
    drip.jpg
    340.4 KB · Views: 88
Hope tumeelewana boss,Kwa maswali,ushauri,vifaa na ufungaji wa mfumo huu wa umwagiliaji usisite kuwasiliana nasi kupitia +255752022108.
Asante sana mtaalam, kwa faida ya wengi..

shamba la miti ya matunda Kama parachichi vile acre 1 miti 75 spacing ya 8*9m mchanganuo wake upoje na mahitaji yake? Suppose nina acre 10.

1. Eneo lina slope
2. Flat

Kila wanaoleta matangazo humu nikiuliza haya wanaingia mitini
 
Asante sana mtaalam, kwa faida ya wengi..

shamba la miti ya matunda Kama parachichi vile acre 1 miti 75 spacing ya 8*9m mchanganuo wake upoje na mahitaji yake? Suppose nina acre 10.

1. Eneo lina slope
2. Flat

Kila wanaoleta matangazo humu nikiuliza haya wanaingia mitini
Kwanza kabisa kuna drip za mboga mboga na drip za miti kama matunda,tofauti yake ni kwanmba hizi za mboga mboga zinakuwa na emitter tayari na zinakuwa na flow rate ndogo(mostly1.5l/h ,2l/h),hizi drip za miti zenyewe zinakuwa hazina emitter,emitter unaweka mwenyewe kulingana na spacing yako ya miti na flow rate unayohitaji(mostly 4l/h-8l/h) kwahiyo kwenye drip za miti inahusisha BLIND PIPE na BUTTON DRIPPER,

Mfano hapo una shamba la ekari moja lenye miti 75 hapo umetoa spacing ya mti na mti ni 8.9m lakini hujatoa spacing ya ya mstari mmoja wa mti na mwingine,lakini kimahesabu hapo spacing ya mstari mmoja na mwingine itakuwa 4000/(8.9*75)=6m,Chukua mfano hiyo ekari yako moja ina upana wa mita 50 na urefu wa mita 80 size ya blind pipe utakayo hitaji itakuwa (50/6)*80=667m na idadi ya button dripper itakuwa sawa na idadi ya miti yako ambayo ni 75.

Baada ya hapo utahitaji vifaa vingine sasa kama connectors,Filter,control valves,air valves,punching tool,na mashine zingine za kazi.
Kwenye eneo kama lina slope au lipo flat kikubwa kinacho tofautisha kwenye ufungaji wa drip irrigation ni kwamba kwenye eneo lenye slope kali ni vyema kumwagilia kwa kutumia blocks ili kusaidia maji kufika eneo lote la shamba maana bila kufanya hivyo maji hukimbilia upande wa chini kwenye slope na mimea iliyo pandwa upande wa chini ndiyo hupata maji vizuri kulinganisha na ile iliyo pandwa upande wa juu,idadi ya blocks inategemeana na ukali wa slope yenyewe.

Kwa upande wa shamba lililo flat hapa haihitajiki sana kugawa shamba katika block unaweza kumwagilia shamba zima(ekari moja) kwa mara moja provided tank lipo juu umbali gani ili kuweza kutoa pressure ya maji ya kutosha.

Kwa ushauri,vifaa na kufungiwa mifumo hii ya umwagiliaji usisite kuwasiliana nasi kupitia,
+255752022108
ENG.Joseph O Mlang'a
Bsc. Agricultural Engineering
Sokoine University Of Agriculture
 
Kwanza kabisa kuna drip za mboga mboga na drip za miti kama matunda,tofauti yake ni kwanmba hizi za mboga mboga zinakuwa na emitter tayari na zinakuwa na flow rate ndogo(mostly1.5l/h ,2l/h),hizi drip za miti zenyewe zinakuwa hazina emitter,emitter unaweka mwenyewe kulingana na spacing yako ya miti na flow rate unayohitaji(mostly 4l/h-8l/h) kwahiyo kwenye drip za miti inahusisha BLIND PIPE na BUTTON DRIPPER,
Mfano hapo una shamba la ekari moja lenye miti 75 hapo umetoa spacing ya mti na mti ni 8.9m lakini hujatoa spacing ya ya mstari mmoja wa mti na mwingine,lakini kimahesabu hapo spacing ya mstari mmoja na mwingine itakuwa 4000/(8.9*75)=6m,Chukua mfano hiyo ekari yako moja ina upana wa mita 50 na urefu wa mita 80 size ya blind pipe utakayo hitaji itakuwa (50/6)*80=667m na idadi ya button dripper itakuwa sawa na idadi ya miti yako ambayo ni 75. Baada ya hapo utahitaji vifaa vingine sasa kama connectors,Filter,control valves,air valves,punching tool,na mashine zingine za kazi.
Kwenye eneo kama lina slope au lipo flat kikubwa kinacho tofautisha kwenye ufungaji wa drip irrigation ni kwamba kwenye eneo lenye slope kali ni vyema kumwagilia kwa kutumia blocks ili kusaidia maji kufika eneo lote la shamba maana bila kufanya hivyo maji hukimbilia upande wa chini kwenye slope na mimea iliyo pandwa upande wa chini ndiyo hupata maji vizuri kulinganisha na ile iliyo pandwa upande wa juu,idadi ya blocks inategemeana na ukali wa slope yenyewe.Kwa upande wa shamba lililo flat hapa haihitajiki sana kugawa shamba katika block unaweza kumwagilia shamba zima(ekari moja) kwa mara moja provided tank lipo juu umbali gani ili kuweza kutoa pressure ya maji ya kutosha.Kwa ushauri,vifaa na kufungiwa mifumo hii ya umwagiliaji usisite kuwasiliana nasi kupitia,
+255752022108
ENG.Joseph O Mlang'a
Bsc. Agricultural Engineering
Sokoine University Of Agriculture

Asante sana kwa majibu murua. Hiyo 8*9m nilimaanisha 8m umbali kati ya mti na mti within a row, 9m row distance ila nimekuelewa vizuri sana.

Blind pipe ni ya inch ngapi? Ni hizi poly za kawaida. Ungeweka mchanganuo wa gharama ingekuwa safi sana nijipange
 
Asante sana kwa majibu murua. Hiyo 8*9m nilimaanisha 8m umbali kati ya mti na mti within a row, 9m row distance ila nimekuelewa vizuri sana.
Blind pipe ni ya inch ngapi? Ni hizi poly za kawaida. Ungeweka mchanganuo wa gharama ingekuwa safi sana nijipange
Nashukuru pia boss, blind pipe ni poly pipe za kawaida ila zinakuwa na diameter ya 16mm.Nitajitahidi kuweka mchanganuo wa gharama pia boss.

Kwa maswali mengine zaidi unaweza tu kuyaleta hapa tukaelekezana maana hatuwezi kuzungumzia kilimo biashara bila kuzungumzia kilimo cha umwagiliaji.
 
Nashukuru pia boss, blind pipe ni poly pipe za kawaida ila zinakuwa na diameter ya 16mm.Nitajitahidi kuweka mchanganuo wa gharama pia boss.Kwa maswali mengine zaidi unaweza tu kuyaleta hapa tukaelekezana maana hatuwezi kuzungumzia kilimo biashara bila kuzungumzia kilimo cha umwagiliaji.
Itakuwa vizuri sana kupata mchanganuo ukizingatia kilimo cha matunda southern highlands kinaelekea kupata umaarufu, wengi wanaparamia tu bila kufikiri swala la umwagiliaji na tatizo kubwa ni ukosefu wa taarifa sahihi za mifumo hii. Wataalam wengi wanajua mchanganuo wa green house na mboga mboga tu
 
Itakuwa vizuri sana kupata mchanganuo ukizingatia kilimo cha matunda southern highlands kinaelekea kupata umaarufu, wengi wanaparamia tu bila kufikiri swala la umwagiliaji na tatizo kubwa ni ukosefu wa taarifa sahihi za mifumo hii. Wataalam wengi wanajua mchanganuo wa green house na mboga mboga tu
Ni kweli kabisa boss,tatizo ni kwamba nowadays kuna accountants,madereva n.k wazuri kabisa katika profession zao lakini wamevamia katika kilimo wakijifanya wataalamu wa kilimo lakini hawana utaalamu wala taarifa za kutosha na sahihi katika kilimo hasa kilimo cha umwagiliaji.Ni vyema kuwa makini pia.
 
Ni kweli kabisa boss,tatizo ni kwamba nowadays kuna accountants,madereva n.k wazuri kabisa katika profession zao lakini wamevamia katika kilimo wakijifanya wataalamu wa kilimo lakini hawana utaalamu wala taarifa za kutosha na sahihi katika kilimo hasa kilimo cha umwagiliaji.Ni vyema kuwa makini pia.
[/QUOTE
Kwanza kabisa kuna drip za mboga mboga na drip za miti kama matunda,tofauti yake ni kwanmba hizi za mboga mboga zinakuwa na emitter tayari na zinakuwa na flow rate ndogo(mostly1.5l/h ,2l/h),hizi drip za miti zenyewe zinakuwa hazina emitter,emitter unaweka mwenyewe kulingana na spacing yako ya miti na flow rate unayohitaji(mostly 4l/h-8l/h) kwahiyo kwenye drip za miti inahusisha BLIND PIPE na BUTTON DRIPPER,
Mfano hapo una shamba la ekari moja lenye miti 75 hapo umetoa spacing ya mti na mti ni 8.9m lakini hujatoa spacing ya ya mstari mmoja wa mti na mwingine,lakini kimahesabu hapo spacing ya mstari mmoja na mwingine itakuwa 4000/(8.9*75)=6m,Chukua mfano hiyo ekari yako moja ina upana wa mita 50 na urefu wa mita 80 size ya blind pipe utakayo hitaji itakuwa (50/6)*80=667m na idadi ya button dripper itakuwa sawa na idadi ya miti yako ambayo ni 75. Baada ya hapo utahitaji vifaa vingine sasa kama connectors,Filter,control valves,air valves,punching tool,na mashine zingine za kazi.
Kwenye eneo kama lina slope au lipo flat kikubwa kinacho tofautisha kwenye ufungaji wa drip irrigation ni kwamba kwenye eneo lenye slope kali ni vyema kumwagilia kwa kutumia blocks ili kusaidia maji kufika eneo lote la shamba maana bila kufanya hivyo maji hukimbilia upande wa chini kwenye slope na mimea iliyo pandwa upande wa chini ndiyo hupata maji vizuri kulinganisha na ile iliyo pandwa upande wa juu,idadi ya blocks inategemeana na ukali wa slope yenyewe.Kwa upande wa shamba lililo flat hapa haihitajiki sana kugawa shamba katika block unaweza kumwagilia shamba zima(ekari moja) kwa mara moja provided tank lipo juu umbali gani ili kuweza kutoa pressure ya maji ya kutosha.Kwa ushauri,vifaa na kufungiwa mifumo hii ya umwagiliaji usisite kuwasiliana nasi kupitia,
+255752022108
ENG.Joseph O Mlang'a
Bsc. Agricultural Engineering
Sokoine University Of Agriculture
Dah umeeleza safi sana engineer ila nakutafuta WhatsApp sikuoni biashara gani aise iyo bila WhatsApp unafanya. We mtu mkubwa sana aise😎😎😎🙂🙂
 
Mr Engineer naomba usichoke tuelimishe. Hivi shamba LA matikiti Nina eka moja , ninahitaji tanki LA size gani kulimwagilia. Kuna Kijana alisema mche mmoja unahitaji Lita 4 kwa siku kna unamwagia kila baada ya siku mbili. He kiutaalamu yuko sahihi ? Help please
 
Kejeli hazifai kama huna point pita kimya please uungwana ni vitendo.
Hapana mkuu sina maana iyo aise kama ulivonielewa uniwie radhi labda kama nitakuwa nimekosea ku Quote ila nia yangu nilitaka kujadili nae mambo ya msingi kwa njia ya picha kupitia WhatsApp
 
Dah umeeleza safi sana engineer ila nakutafuta WhatsApp sikuoni biashara gani aise iyo bila WhatsApp unafanya. We mtu mkubwa sana aise😎😎😎🙂🙂
Most of the time tupo vijijini tukisaidiana na wakulima boss,Huku hakuna mtandao na network tunaipata kwa tabu sana.Ngoja hawa wakulima wakisha pata mtandao vizuri. wao wata tangulia kwanza kujiunga huko then sisi tutawafuata,Kifupi wakulima ndio wanaotuongoza sisi namna bora za kuwasiliana nao.
 
Back
Top Bottom