Agrila Farming
Member
- Mar 3, 2018
- 64
- 53
Kwa ekari moja unaweza kutumia tank la lita 5000, Kwenye umwagiliaji wa tikiti,Mwanzoni baada ya kuotesha ni lazima kumwagilia maji ya kutosha(mizizi ishike vizuri ardhini) ila baada ya kama wiki tatu una weza kupunguza maji,Mr Engineer naomba usichoke tuelimishe. Hivi shamba LA matikiti Nina eka moja , ninahitaji tanki LA size gani kulimwagilia. Kuna Kijana alisema mche mmoja unahitaji Lita 4 kwa siku kna unamwagia kila baada ya siku mbili. He kiutaalamu yuko sahihi ? Help please
Kumwagilia hatuwezi kusema umwagilie baada ya siku ngapi maana inategemea na aina ya udongo,kikubwa ni kupima kama maji yameingia vya kutosha,kwa tikiti ni vyema maji kuingia ardhini kama inchi nne na hii unaweza kupima kwa kutumia kidole.
kama unyevu haujafika ichi nne ardhini unamwagilia.siku kama 10-12 kabla ya kuvuna una stop kumwagilia ili kusaidia sukari kukaa vizuri ili kupata ladha nzuri ya tikiti.