Is 100kg of stones heavier than 100kg of cotton? Why? How?

mtazamaji

you are still at it?

utaharibu mapishi kaka ........vitabu vya recipe vinakwambia weka unga pounds kadhaa wewe upimie kwa mashine ya kupimia dhahabu bure!

:eyeroll2:
 
Swali la kwenye thread hii ni rahisi sana.....lakini sijui nani amelipinduapindua mpaka imefika mahali watu wanashambuliana!
Hii ni testimony nyingine ya triviality ya wasomi wa Kitanzania. Wanapoteza nguvu na muda wa kufuatilia vitu ambavyo majibu yake ni mepesi.
Get real jamani.....seriously.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…