Is Atheism Satanism?

Hahahahhaha kiranga naona unafanya delay tactics ili mada ife sasa si nlishakubali makosa unachokimbia ni nini??

Wwe jibu swali methodology gani ulitumia kumsaka huyo MUNGU alafu ukagundua ni fiction na haexist.....

Ni sawa na mmi niseme heaven or hell doesn't exist ilihali nimekaa sebuleni tu?? Itawezekana kweli??? Ila ntaweza kuprove kwa kutumia methodology ya kujiua ili nikishakufa ndio nijue kama Heaven ama hell ipo si ndio maana yake

Sasa unachokifanya hapa ni sawa na mfano wangu kuwa unataka mtu aprove kuwa hell ipo ilihali hujawahi kutumia right approach kuexperiment kama iko ama lah yaani kufa ili akagundue ukweli kama hell ipo am lah

So nakusubiri uniambie ulitumia methodology gani kuinvestigate existence ya huyo MUNGU ambaye unaconclude uligundua hayupo
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu hayupo, factually.

Hakuna jinsi ya kumthibitisha Mungu huyo factually.

Hakuna jinsi ya kumuelezea Mungu huyo in a logically consistent way.

Hakuna jinsi ya kumuelezea Mungu huyo bilaya kuwa na contradiction.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha vinginevyo.
 
Umejuaje hayupo ilihali hujatumia methodology inayotakiwa??

Ww ni msomi nieleze umetumia methodology gani kwenye investigation yako alafu findings zako zikagundua Mungu hayupo

Nipe methodology sio maneno....twende kazi
 
Umejuaje hayupo ilihali hujatumia methodology inayotakiwa??

Ww ni msomi nieleze umetumia methodology gani kwenye investigation yako alafu findings zako zikagundua Mungu hayupo

Nipe methodology sio maneno....twende kazi
Methodology inayotakiwani ipi? Na umejuaje sijatumia methodology inayotakiwa?
 
Methodology inayotakiwani ipi? Na umejuaje sijatumia methodology inayotakiwa?
Duh yaani ww umefikia conclusion ya kusema MUNGU hayupo which is fine sasa na mimi nataka nifanye rejea ya methodology ulizotumia ili nione kama ni sahihi ama lah

Ni sawa na kusema unafanya research ya undergraduate alafu haina lets say literature review au data analysis je utasema hiyo tafiti ni credible??

So na mmi nahoji kuwa utafiti wako hauwezi credible mpaka utuambie methodology ulizotumia ili kugundua kama Mungu hayupo

Nasubiri sitaki maneno ww niambia ulianzia tafiti yako wapi ukaishia wapi na ulifikiaje kwenye conclusion

Am waiting
 
Wewe umesema mimi nimekosea, methodology yangu niliyotumia ni mbaya, ndiyo maana nimefikia conclusion mbaya kwamba Mungu hayupo.

Mimi nataka kusema labda uko sawa. Labda nimekosea.

Yako nzuri isiyo na makosa ambayo inaonesha Mungu yupo ni ipi?

Iweke hapa tuichambue tuone.
 
Umeuliza swali zuri sana Mkuu.
Sisi wasikilizaji tunasubiri jibu kwa hamu kubwa.
Hili swali ni zito sana na sijui kama anauwezo wa kulijibu kwa usahihi.
Hapo hata ukiwakusanya Atheist wote hawatakuwa na uwezo kulijibu.

Big up sana.
 
Duh nani aliyesema Mungu hayupo??? Si ni wewe kiranga??? Na ukahitimisha kuwa umefanya utafiti umegundua hayupo sasa ndio nakuhoji kwamba ili na sisi tujue tunakusaidiaje tuwekee hapa methodology uliotumia let it be ulisoma biblia au ulifanya tafakari au ulienda kanisani au ulienda kumsaka kwenye pango lake analoishi ukamkuta hayupo ndio maana ukafikia kuhitimisha kuwa hayupo tupe procedure

Kuhusu mimi kusema methodology yako ni wrong ni sababu mimi nimeprove kuwa MUNGU yupo sababu nilitumia procedure inayotakiwa na nikajua yupo sasa ww unaposema umegundua hayupo ina maana kwamba kuna process umeruka ndio maana umemkosa kwa hiyo sihitajiki niweke ila ww weka yako ili nikuonyeshe makosa yako maana ww ndio unadai umefanya utafiti wa kina so tunahoji utafiti wako why ssa unihoji mmi tena msomaji???

Nasubiri
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]



Sijawahi kukutana na Mtanganyika mbobezi wa mambo jumuishi kama wewe, hahaha nimecheka sana ulivyompa za uso sijui kama atarudi hahaha
 
Procedure gani uliyotumia kujua Mungu yupo?

Hujajibu swlai hili.

Unarudia tu kusemaumetumia procedure inayotakiwakujua Mungu yupo.
 
Procedure gani uliyotumia kujua Mungu yupo?

Hujajibu swlai hili.

Unarudia tu kusemaumetumia procedure inayotakiwakujua Mungu yupo.
Kiranga ukiulizwa swali jibu swali ndio rule of arguments and debates sio unaulizwa swali unajibu na swali

Wwe ndio umeleta hoja kuwa Mungu hayupo nimekubali hoja yako sasa nimekuuliza umefanyaje huo utafiti wako hadi umegundua Mungu hayupo..... Sasa unaanza niuliza eti procedure ndio zipi Ilihali utafiti umefanya wwe

Narudia tena procedure huwa zipo unapotaka kugundua kitu mfano ukitaka kupima gravity basi utarusha kitu juu ili uone kma kitavutwa si ndio unaprove gravity ipo?? Sasa unaweza kaa sebuleni ukasema tu GRAVITY HAMNA bila kufanya kufanya experiment ndogo ya kurusha kitu juu????

Ndio maana nakuhoji umefikiaje conclusion kuwa Mungu hayupo..... So jibu swali na mmi ntakujibu maswali yako yote maadam mie ndio wa kwanza kuhoji utafiti wako
 
Naona kakimbia maana alikuwa anataka kujificha kwenye kakichaka ka karanga kwa kun'gan'gania ile typing error Ila umemkomalia had kasepa hongera
 
Hapa jamaa lazima atoboe[emoji3]
 
Kitu cha kwanza, tuelewane tunapoongelea Mungu tunaongelea nini.

Mimi naongelea Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu.

Simuongelei Beyonce.

Kuna watu wanasema Beyonce naye ni Mungu, kwa sababu kauza rekodi za muziki milioni 17.

Kwa definition hiyo ya Mungu, siwezi kubisha kwamba Mungu Beyonce yupo.

Ila huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ambaye kaumba ulimwengu, hayupo.

Kwa sababu dhana ya kuwepo kwake, tukiilinganisha na tunayoyaona, inajipinga yenyewe.

Huyo Mungu hayupo, kama yupo pinga kwa arguments kuondoa contradiction ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kuumba ulimwengu ambao maovu yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani kuwepo.
 
Kitu cha kwanza, tuelewane tunapoongelea Mungu tunaongelea nini.
YAHWEH au kwa kiswahili MUNGU ndio anaongelewa hapa
Kwa sababu dhana ya kuwepo kwake, tukiilinganisha na tunayoyaona, inajipinga yenyewe.
.
Dhana ipi embu itaje hapa
Ila huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ambaye kaumba ulimwengu, hayupo.

Mkuu ulishasema umefanya utafiti kuwa MUNGU hayupo nikasema well and good je huo utafiti uliufanyia wapi..... Ulitumia vigezo gani au nini kupima existence ya DEITY inayoitwa MUNGU maana sijawahi sikia kuna formula ya kisayansi inaweza tambua existence ya DEITY wwe umetumia ipi hadi ukasema kitu kinaitwa MUNGU hakipo.... yaani ulienda mbinguni ukamkuta hayupo au ulisoma kitabu tu ukaishia hipo nipe BASIS ya claim zako kama nilivyoomba toka mwanzo

Nasubiri ujibu hili ndio uulize maswali yote niko hapa kujibu siendi kokote leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…