Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Dizain kama mambo yanakua magumu kwa kijana wetu, ngoma mbili nje ya management yake ya zamani, Uno na Kushoto Kulia, ya kwanza ilikua pushed sana media tour Afrika ya Mashariki, interview kali pale Clouds na Efm hadi wakamuandalia open concert, atleast ikapata views milioni ndani ya siku mbili tena audio.
Hii ya pili mapokezi yake yanasuasua; media kama zimemtosa hivi, amebaki peke yake na matokeo yake ndo kama haya hapa chini.
By the way, nalia na hii management yake mpya; naona wanashindwa kuendeleza kipaji cha huyu Mwamba wa Kusini, lawama zote nazitupa kwa Jembe ni Jembe unamuangusha kijana wetu, msanii pekee anaepeperusha bendera ya nchi yetu ya Jamhuri ya watu wa Kusini na majimbo yake mawili Lindi na Mtwara.
Wenyewe tunamtegemea, msitake kutuhujumu na huku kwenye sanaa kama mlivyofanya kwenye gas, Dangote Cement, korosho na mbaazi.
Hii ya pili mapokezi yake yanasuasua; media kama zimemtosa hivi, amebaki peke yake na matokeo yake ndo kama haya hapa chini.
By the way, nalia na hii management yake mpya; naona wanashindwa kuendeleza kipaji cha huyu Mwamba wa Kusini, lawama zote nazitupa kwa Jembe ni Jembe unamuangusha kijana wetu, msanii pekee anaepeperusha bendera ya nchi yetu ya Jamhuri ya watu wa Kusini na majimbo yake mawili Lindi na Mtwara.
Wenyewe tunamtegemea, msitake kutuhujumu na huku kwenye sanaa kama mlivyofanya kwenye gas, Dangote Cement, korosho na mbaazi.