herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
subiri mwanangu ntakupa majibu nnataka tufanye biashara aniongezee viewers kwenye nyimbo yangugwankaja, Mbona wengine hawanunui,sasa kama ni kwa fb ads au ujui maana ya ads ni advertisements ko logic yako ni ipi acha kukalili maisha
Umeongea kweli hicho kitu nimekiwaza jana. Ni kama anapotea taratibu halafu muda huo huo kwa kasi.Dizain kama mambo yanakua magumu kwa kijana wetu, ngoma mbili nje ya management yake ya zamani, Uno na Kushoto Kulia, ya kwanza ilikua pushed sana media tour Afrika ya Mashariki, interview kali pale Clouds na Efm hadi wakamuandalia open concert, atleast ikapata views milioni ndani ya siku mbili tena audio.
Hii ya pili mapokezi yake yanasuasua; media kama zimemtosa hivi, amebaki peke yake na matokeo yake ndo kama haya hapa chini.
View attachment 1270352
By the way, nalia na hii management yake mpya; naona wanashindwa kuendeleza kipaji cha huyu Mwamba wa Kusini, lawama zote nazitupa kwa Jembe ni Jembe unamuangusha kijana wetu, msanii pekee anaepeperusha bendera ya nchi yetu ya Jamhuri ya watu wa Kusini na majimbo yake mawili Lindi na Mtwara.
Wenyewe tunamtegemea, msitake kutuhujumu na huku kwenye sanaa kama mlivyofanya kwenye gas, Dangote Cement, korosho na mbaazi.
nitajie kazi yako nkaitazame/ jina unalotumiaNi rahisi sana.. Bahati mbaya mm siimbi ila nanunua kwenye kazi zangu kadri ninavyotaka!
unapoalibu ni pale unaongea vitu seriously alafu unacheka badala ya kuliaEmpire iliotengenezwa bongo .. haiwezi kuupelekaa mziki wetu popote pale kwanza wcb inataka kutuaminisha Tanzania nimsanii moja tu hiki ndokimeshababisha mpaka diamond kanganda hana maendeleoo yakimziki tunamuona davido alikuwa level moja tu na diamond tena naweza kusema diamond alikuwa juu ya davido lakini
Leo davido yupo juu tunamuona burnboy anatajwa kwenye tuzo kubwa duniani.. ila sisi tunaendelea kujiaminisha kwenye views ndomafanikioo ya kwenye mziki ndomaana diamond akikutana na wizkid nihabari kwa bongo ila lagos nikitu chakawaida tu kama kondeboy akutane na dudubaya ndomaana Nigeria wanatumia huu ujinga wetu kupiga bao laiti tukijitambua nakupenda mziki sio mtu wala lebo na kusapotiana
Nigeria watakuwa chini yetu tu bongo tunajuaa .. sana .. Leo hii anaonekana lava lava anajua kuliko marioo lebo hizi kama tu simba na yanga kwenye mpira .. harmoniz alikuwa mkali wcb katoka kawa mbaya na hajui kuimba .. harmoniz kuna kauli aliongea kuwa bifu za wasanii na media ndozinazosababisha mzikiwetu uwe chini. Najua TEAM WCB najua hatoielewa maana mmekunywa maji ya benderaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu bado mmelala usingizi kwamba Diamond views ananunua? Mnachelewa tu. Kitu watu wasichokijua Diamond akitoa ngoma hata iwe mbovu,mtu lazima ataichungulia ajue ni ngoma ikoje,ndio views zinaongezeka hapo. Zaidi ya yote ikitaka kujua jinsi ngoma za Diamond zinavyovuma. Ikitoka ngoma tu,kila mtaa utasikia hiyo ngoma inapigwa tena kwa kurudiwa rudiwa,hata iwe mbovu. Ona BABA LAO,watu walisema mbovu,lakini ona inavyopigwa kitaa,achilia mbali hawa wanaingiza nyimbo kwenye frash,maana hao ndio saana,mpaka maharusini inapigwa sana. Sasa linganisha vile zinavyopigwa kitaa,ndivyo na views zinavyokuwa. Sifikirii kabisa kwamba kuna kununua viewsKwahiho unampima kwa views za youtube kweli? Hujui kama views zinanunuliwa?
Wabongo mnafeli Sana yaani kwa akili zenu mnadhani YouTube ndo platform ya kujua msinii kahit au la wakati ukweli ni kwamba duniani mziki unapimwa na streaming.Watu bado mmelala usingizi kwamba Diamond views ananunua? Mnachelewa tu. Kitu watu wasichokijua Diamond akitoa ngoma hata iwe mbovu,mtu lazima ataichungulia ajue ni ngoma ikoje,ndio views zinaongezeka hapo. Zaidi ya yote ikitaka kujua jinsi ngoma za Diamond zinavyovuma. Ikitoka ngoma tu,kila mtaa utasikia hiyo ngoma inapigwa tena kwa kurudiwa rudiwa,hata iwe mbovu. Ona BABA LAO,watu walisema mbovu,lakini ona inavyopigwa kitaa,achilia mbali hawa wanaingiza nyimbo kwenye frash,maana hao ndio saana,mpaka maharusini inapigwa sana. Sasa linganisha vile zinavyopigwa kitaa,ndivyo na views zinavyokuwa. Sifikirii kabisa kwamba kuna kununua views
unapoalibu ni pale unaongea vitu seriously alafu unacheka badala ya kulia
Wabongo mnafeli Sana yaani kwa akili zenu mnadhani YouTube ndo platform ya kujua msinii kahit au la wakati ukweli ni kwamba duniani mziki unapimwa na streaming.
Nenda kwenye Spotify, iTunes, Shazam, na zingine ndo ujue msanii wako kafika wapi
Angalia shows anazofanya anajaza wapi wakina davido, Wizkid na barnaboy wanajaza arena 02 unafanisha na msanii anaejaza viwanja vya posta
Wenzake wanapandishwa na kina Drake, cardi B na chriss brown jukwaa moja unafananisha na msanii anaepandisha wakina mandojo na domokaya
Diamond ft mr flavour hii ndonyimbo yenywe view wengi Tanzania million 56 ndani ya miaka minne .. inafatiwa nanyimbo ya harmoniz ft diamond hii ina million 55 ndani ya mwaka mmoja .. tukifatilia YouTube kama kigezochenu chakwanza jibu mnaloo .. viewers million 800 hakuna msanii Africa aliofikishaa acha kusiria ujingaa mitoto yajuzi.. inaongea tu million 800 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unamsifia mtuu mpaka unapitilizaa mkuuKweli ni mzee mkavu hata ubongo wako umekauka nakwambia rudi memkwa.
Siwezi kuendelea kubishana na wewe,nimeshajua kinachokutesa ni gereous tu. Watu wa aina yako mnateseka bila sababu. 1. Hakuna mahala nilipoongelea you tube ndio kipimo,soma vizuri tred yangu. 2. Kuhusu kujaza arena,hiyo tulishaiongea sana hapa siku mwenzio ameleta tred ya wizkid kujaza arena,nikamjibu tena kwa video Diamond alivyojaza huko ujerumani na kwingineko. Shida wivu unawaua na mtakufa kwa pressure Diamond anazidi kupaa,mwisho upasukeWabongo mnafeli Sana yaani kwa akili zenu mnadhani YouTube ndo platform ya kujua msinii kahit au la wakati ukweli ni kwamba duniani mziki unapimwa na streaming.
Nenda kwenye Spotify, iTunes, Shazam, na zingine ndo ujue msanii wako kafika wapi
Angalia shows anazofanya anajaza wapi wakina davido, Wizkid na barnaboy wanajaza arena 02 unafanisha na msanii anaejaza viwanja vya posta
Wenzake wanapandishwa na kina Drake, cardi B na chriss brown jukwaa moja unafananisha na msanii anaepandisha wakina mandojo na domokaya
Siwezi kuendelea kubishana na wewe,nimeshajua kinachokutesa ni gereous tu. Watu wa aina yako mnateseka bila sababu. 1. Hakuna mahala nilipoongelea you tube ndio kipimo,soma vizuri tred yangu. 2. Kuhusu kujaza arena,hiyo tulishaiongea sana hapa siku mwenzio ameleta tred ya wizkid kujaza arena,nikamjibu tena kwa video Diamond alivyojaza huko ujerumani na kwingineko. Shida wivu unawaua na mtakufa kwa pressure Diamond anazidi kupaa,mwisho upasuke
Kaka gereous nikitu chakawaida ebu tutajiee mfano wa arena moja ya diamond alioijaza.. maana kwa mimi navyojua mimi huko Germany ukimbi wakuingia watu 1000 hivi arena tunazoziongerea sisi ni kwanzia 200000 kwenda juu mkuu ..
Ukumbi aliufanyia unaingizaa watu 3500 wakati wakina davido wizkid burnboy wanafanyia kwenye ukumbi 20000 natiketi fasta zinaisha.. kabla ya shoo
Leta data naona ujanielewa mimi na maanisha video zake zote ndio number moja afrika sawaDiamond ft mr flavour hii ndonyimbo yenywe view wengi Tanzania million 56 ndani ya miaka minne .. inafatiwa nanyimbo ya harmoniz ft diamond hii ina million 55 ndani ya mwaka mmoja .. tukifatilia YouTube kama kigezochenu chakwanza jibu mnaloo .. viewers million 800 hakuna msanii Africa aliofikishaa acha kusiria ujingaa mitoto yajuzi.. inaongea tu million 800 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unamsifia mtuu mpaka unapitilizaa mkuuView attachment 1275930View attachment 1275932
Diamond ameshajaza sasa unataka ajazaje..?Kaka gereous nikitu chakawaida ebu tutajiee mfano wa arena moja ya diamond alioijaza.. maana kwa mimi navyojua mimi huko Germany ukimbi wakuingia watu 1000 hivi arena tunazoziongerea sisi ni kwanzia 200000 kwenda juu mkuu ..
Sasa unazania huo ni mdogo..?,na unazania angepata mkubwa angeshindwa wewe kubali au ukatae ila diamond BABA LAOUkumbi aliufanyia unaingizaa watu 3500 wakati wakina davido wizkid burnboy wanafanyia kwenye ukumbi 20000 natiketi fasta zinaisha.. kabla ya shooView attachment 1276131
mmmmh ingekuwa hvyo hakuna nyimbo ya msanii bongo ingekuwa na viewers chini hata ya laki tano , kwa namna wanavyopenda sifa.
ila we inaonesha ni mtaalam naomba unisaidie nnanyimbo yangu nataka viewers laki tano tu kama hutojali nitafute ntakulipa kwenye email hii Herman joshua47@gmail.com npo seriously