Is high class/high social status earned/acquired/contended?

Kongosho

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
35,991
Reaction score
24,211
I have been wondering how someone changes social status/class from lower level to higher level. Do you earn/acquire from the society around you au ni wewe mwenyewe unajitangaza kuanzia leo mimi ni high class? Reference location: Tanzania.

Na ni vitu gani vinavyomfanya mtu atoke lower social status to higher mfano, ni kipato, elimu, mavazi n.k
 
Pesa mama
pesa inamfanya hata mzee amsalimie mtoto mdogo kule kwetu
 
society ina values ambazo inatumia kama criteria ya mtu aliyefanikiwa. Angalia jamii inayokuzunguka, ni vitu gani wana uphold?
 
Pesa mama
pesa inamfanya hata mzee amsalimie mtoto mdogo kule kwetu

ha ha haaaa..umenikumbusha kale ka wimbo ka Mr. 2 Proud kitambo kidogo,kanaimba "mambo ya fedha ni nomaaa mwanafunzi anaonekana mkurugenzi, mkurugenzi anaonekana kama rais, fedha huleta nafasi pasipo na nafasi usisahau fedha huleta s***...."~II PROUD
 
It is yooote ulotaja... Wapo wa aina tofauti

  1. Earned - By working hard, haijalishi ni fisadi, jambazi ama tu loyal worker e.g Oprah Winfrey
  2. Acquired - Alitumia babu mpaka mjukuu, e.g Prince Charles (Mimba tu mamake na jamii ilijua mtoto atakua High Class)
  3. Contended - What can i say hapa zaidi ya kusema e.g Tigger Woods, Drogba na wengine kibao!!
Regards to my pal...
 
Unajua AshaDii, kuna kitu nakiona lakini sijapata maneno sahihi ya kuelezea. Watu tumeanza kujiweka kwenye high class kwa vigezo ambavyo naona havina mantiki, mfano who are u dating, vipodozi, na kuongea kingereza na kila mtu hata asiyekijua. Inaniconfuse sana kuelewa hii dhana ya high class

Salam nafikisha.
 



Kongosho... High Class katika the original dhana ya "High Class" IMO is all about Mtu mwenyewe... it has nothing to do with whom you date, what you were... it is about the person and the whole package of what defines a person.... Nilivokuambia hapa maybe very confusing.... (mana hata mimi nahisi am confused) but ukweli unabaki kua kuonekana wa juu haitoshi kudefine "Class"... Ndo pale mtu aweza onekana High Class BUT once s/he opens up his/her mouth unamshusha at par!

Tukitaka kuzungumzia jamii yetu ya Ki Tz ndo mtu waweza enda chaka kabisa!! Sababu most of the vigezo vya jammii ndo vile vinafanya mtu aitwe kafulia just bcoz at one time alikua anajiita (ujilikana) ni high class...
 
Realy? Mbona huku kwetu tunajiita high class kwa kubeba pochi ya designer tu.

Kwa uelewa wangu kwanza kuna tofauti baina ya watu wa high class, celebrities na rich

Kuwa high class ni process ya muda mrefu itakayokufanya uwe na manners fulani, ideology fulani pamoja na traditions fulani.
 
kama kuna mtu anajua

structure ya class in India aweke humu itasaidia mjadala
 
Nakubaliana na wewe uliposema ni long term process. Kwa mtazamo wangu siamini kama unaweza kudeclear wewe mwenyewe kwamba ni high class. Naamini ni jamii inayokuzunguka inakuweka katika class fulani.
Kwa hiyo nafikiri high class is earned from the society na sio kugombewa kama ubunge.

Kwa uelewa wangu kwanza kuna tofauti baina ya watu wa high class, celebrities na rich

Kuwa high class ni process ya muda mrefu itakayokufanya uwe na manners fulani, ideology fulani pamoja na traditions fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…