Is HIV/AIDS a mind game disease?

Is HIV/AIDS a mind game disease?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mara kadhaa humu humu JF wamekuja watu wanatuambia HIV ni kama mchezo fulani tu wa wazungu kutaka kuitia hofu dunia. Ni kama ilivyokuwa Corona Covid 19 walivyotuchezea akili.

Maoni haya yanakuwa magumu kuyaamini kwa sababu tumeshaelimishwa vinginevyo huko awali tena kwa miaka mingi. Bahati mbaya katika miaka yote hiyo hayakuwepo mawazo kinzani mithili ya yaliyokuwepo kipindi cha Covid

Lakini tusipuuze,tuwasikilize wadau wanaokuja na hoja hizo. Ni kwa vipi HIV ni "mind game". Mkishindwa kueleweka basi hamna hoja,tunabaki kuamini kwamba HIV ni gonjwa hatari ambalo halina chanjo wala dawa ya kuponya.
 
Mara kadhaa humu humu JF wamekuja watu wanatuambia HIV ni kama mchezo fulani tu wa wazungu kutaka kuitia hofu dunia. Ni kama ilivyokuwa Corona Covid 19 walivyotuchezea akili.

Maoni haya yanakuwa magumu kuyaamini kwa sababu tumeshaelimishwa vinginevyo huko awali tena kwa miaka mingi. Bahati mbaya katika miaka yote hiyo hayakuwepo mawazo kinzani mithili ya yaliyokuwepo kipindi cha Covid

Lakini tusipuuze,tuwasikilize wadau wanaokuja na hoja hizo. Ni kwa vipi HIV ni "mind game". Mkishindwa kueleweka basi hamna hoja,tunabaki kuamini kwamba HIV ni gonjwa hatari ambalo halina chanjo wala dawa ya kuponya.
We endelea kukamia tu utakuja na nyuzi za kuulizia aina za malimao.
 
Safi kabisa. Kuna watu wanamacho ya kiroho hapa duniani ngoja nkkupe mfano

Katika nyimbo flani za bongo flovour kuna mziki wa sold ground famiry unaitwa mechi kali. Huu ni mziki ukimaanisha kati ya tiba na kifo katika mechi na wachezaji ni madawa na magonjwa. Mechi ilipigwa mpaka dakika za mwisho ikiwa ni droo. Timu ya kifo ikamtoa kifua kikuu na kumweka ukimwi ndo kafunga goli dakika ya 90 na mpira ukaisha

Sasa jiulize kama we nikocha wa timu ya kifo nikweli waweza mtoa kifua kikuu katika mpambano huku ukiwaacha akina kaswende ambao wanatibiwa kwa majani ya mpela na mizizi ya mipapai tu

Mbona aliyetolewa ni hatari kuliko waliowacha katika mchezo japo aliyeingia ni hatari zaidi?

Nikweli kifua kikuu kiliacha kuuwa ndo kaletwa aids kuziba pengo? Haya ni macho ya kiroho nawambia japo ule ulikuwa wimbo tu wa kutungwa sasa twende hapa

Kuna mshokaji wangu niko nae huku pande za bukoba visiwani japo kimwonekano alishapoteza matumaini ya kuishi ila yeye ni mwenyeji wa kanyigo bukoba.

Kwa kifupi ni kwamba katika familia yao amebaki yeye tu kwa watoto watano. Wakiume wawili na wakike watatu ila aliponipa simulizi yake ilifanya niamini kunamakosa kuhusu aids na mfumo wake. Tutakuja endelea ngoja ninywe kwanza bia washikaji

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mara kadhaa humu humu JF wamekuja watu wanatuambia HIV ni kama mchezo fulani tu wa wazungu kutaka kuitia hofu dunia. Ni kama ilivyokuwa Corona Covid 19 walivyotuchezea akili.

Maoni haya yanakuwa magumu kuyaamini kwa sababu tumeshaelimishwa vinginevyo huko awali tena kwa miaka mingi. Bahati mbaya katika miaka yote hiyo hayakuwepo mawazo kinzani mithili ya yaliyokuwepo kipindi cha Covid

Lakini tusipuuze,tuwasikilize wadau wanaokuja na hoja hizo. Ni kwa vipi HIV ni "mind game". Mkishindwa kueleweka basi hamna hoja,tunabaki kuamini kwamba HIV ni gonjwa hatari ambalo halina chanjo wala dawa ya kuponya.
Ubeberu ni unyama- Julius K Nyerere
 
220px-Dr_Sebi_photograph.png

Hayati Dr.Sebu
 
Huenda Ni kweli,
Ila siwez kujirisk nikaupata Kama ilivokua kwenye corona[emoji4]
 
Safi kabisa. Kuna watu wanamacho ya kiroho hapa duniani ngoja nkkupe mfano

Katika nyimbo flani za bongo flovour kuna mziki wa sold ground famiry unaitwa mechi kali. Huu ni mziki ukimaanisha kati ya tiba na kifo katika mechi na wachezaji ni madawa na magonjwa. Mechi ilipigwa mpaka dakika za mwisho ikiwa ni droo. Timu ya kifo ikamtoa kifua kikuu na kumweka ukimwi ndo kafunga goli dakika ya 90 na mpira ukaisha

Sasa jiulize kama we nikocha wa timu ya kifo nikweli waweza mtoa kifua kikuu katika mpambano huku ukiwaacha akina kaswende ambao wanatibiwa kwa majani ya mpela na mizizi ya mipapai tu

Mbona aliyetolewa ni hatari kuliko waliowacha katika mchezo japo aliyeingia ni hatari zaidi?

Nikweli kifua kikuu kiliacha kuuwa ndo kaletwa aids kuziba pengo? Haya ni macho ya kiroho nawambia japo ule ulikuwa wimbo tu wa kutungwa sasa twende hapa

Kuna mshokaji wangu niko nae huku pande za bukoba visiwani japo kimwonekano alishapoteza matumaini ya kuishi ila yeye ni mwenyeji wa kanyigo bukoba.

Kwa kifupi ni kwamba katika familia yao amebaki yeye tu kwa watoto watano. Wakiume wawili na wakike watatu ila aliponipa simulizi yake ilifanya niamini kunamakosa kuhusu aids na mfumo wake. Tutakuja endelea ngoja ninywe kwanza bia washikaji

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Iyo story ya kifo na kifua kikuu nmeipenda[emoji4]
 
Back
Top Bottom