Obi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 374
- 79
Wanabodi,
Kwanza nikiri kuwa mimi sio Dacktari. Kuna debate inayoendelea kwa muda mrefu sana kuhusu kitu kinachosababisha AIDS. Kuna Wanasayansi wanaosema HIV Virus haisababishi AIDS na kuna wanaosema HIV Virus ndio kisababishi cha ugonjwa huu hatari.
Pia kuna debate pia kuwa AIDS haiambukizwi kwa kushirikiana kimwili kwa jinsia tofauti. Na hii inasababishwa na ukweli kwamba AIDS/UKIMWI inatofautiana kulingana na sehemu (Western World and Sub Saharan World). Western World AIDS is a homosexual (Gay) related desease while in Subsaharan World AIDS is heterosexual related desease??? na ndio hapo watu wanajiuliza ni kwa nini iwe hivyo?
Nimeambatanisha documentary inayoelezea kwa urefu sana hii ishu. Ni ndefu kidogo na inahitaji muda usiopungua saa mbili.
HIV=AIDS: Fact or Fraud? A Stephen Allen film. - YouTube
Wanasayansi wengine wanasema kuwa hakuna mtu yeyote ambaye amewahi ku isolate HIV Virus (Ingawaje kuna Wanasayansi walioshinda Npbel Prize kwenye hili).
Nimeambatanisha pia Documentary hapa kuhusu hili.
The Emperors New Virus? - An Analysis of the Evidence for the Existence of HIV (Documentary) - YouTube
Lengo langu sio ku provoke wagonjwa wa AIDS bali lengo ni kuanzisha mjadala utakaosaidia kuleta suluhisho la kudumu litakalosaidia watu wenye kuumwa na huu ugonjwa.
Kwanza nikiri kuwa mimi sio Dacktari. Kuna debate inayoendelea kwa muda mrefu sana kuhusu kitu kinachosababisha AIDS. Kuna Wanasayansi wanaosema HIV Virus haisababishi AIDS na kuna wanaosema HIV Virus ndio kisababishi cha ugonjwa huu hatari.
Pia kuna debate pia kuwa AIDS haiambukizwi kwa kushirikiana kimwili kwa jinsia tofauti. Na hii inasababishwa na ukweli kwamba AIDS/UKIMWI inatofautiana kulingana na sehemu (Western World and Sub Saharan World). Western World AIDS is a homosexual (Gay) related desease while in Subsaharan World AIDS is heterosexual related desease??? na ndio hapo watu wanajiuliza ni kwa nini iwe hivyo?
Nimeambatanisha documentary inayoelezea kwa urefu sana hii ishu. Ni ndefu kidogo na inahitaji muda usiopungua saa mbili.
HIV=AIDS: Fact or Fraud? A Stephen Allen film. - YouTube
Wanasayansi wengine wanasema kuwa hakuna mtu yeyote ambaye amewahi ku isolate HIV Virus (Ingawaje kuna Wanasayansi walioshinda Npbel Prize kwenye hili).
Nimeambatanisha pia Documentary hapa kuhusu hili.
The Emperors New Virus? - An Analysis of the Evidence for the Existence of HIV (Documentary) - YouTube
Lengo langu sio ku provoke wagonjwa wa AIDS bali lengo ni kuanzisha mjadala utakaosaidia kuleta suluhisho la kudumu litakalosaidia watu wenye kuumwa na huu ugonjwa.