Is honey the new gold in tanzania?

Is honey the new gold in tanzania?

chikuntila

Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
12
Reaction score
1
dear members of jf bee keeping in tanzania has been highly practised for many years, however since prime minister Mizengo Pinda came into power, hapiculture is now more emphasized,please i want to know whether honey is the new gold in Tanzania how much price per one litre/kg of honey or wax?
 
dear members of jf bee keeping in tanzania has been highly practised for many years, however since prime minister Mizengo Pinda came into power, hapiculture is now more emphasized,please i want to know whether honey is the new gold in Tanzania how much price per one litre/kg of honey or wax?
thread yako itafungua macho wengi,watalaam njooni mtutoe ukungu
 
dear members of jf bee keeping in tanzania has been highly practised for many years, however since prime minister Mizengo Pinda came into power, hapiculture is now more emphasized,please i want to know whether honey is the new gold in Tanzania how much price per one litre/kg of honey or wax?

mnadanganyana tu mkuu....honey haiwezi kuwa new gold hata kwa uchawi.

Mizengo Pinda is the weakest premier ever...akili na mawazo yake yanaishia kwenye asali na kilimo cha ngwamba chenye kutegemea mvua za mungu, hawezi kuongelea tough issues, not kwamba asali ni dili hivyo, sasa kwa vile na siye kibongo bongo kila linasemwa na mkubwa tunaamini basi ndiyo hivyo.
 
Hata kama inalipa lakini je soko lake likoje.

Ni kwli inatakiwa kila mmoja anaye taka kuingia huko afanye utafiti wa Soko, na sio kuwasikiliza Wanasiasa tu, na Mtu anaweza chunguza Ethiopia wao wanauza wapi? Make hawa ndo wanaongoza kwa Bara la frica
 
mnadanganyana tu....honey haiwezi kuwa new gold hata kwa uchawi.

Mizengo Pinda is the weakest premier ever...akili na mawazo yake yanaishia kwenye asali na kilimo cha ngwamba chenye kutegemea mvua za mungu, hawezi kuongelea tough issues, not kwamba asali ni dili hivyo, sasa kwa vile na siye kibongo bongo kila linasemwa na mkubwa tunaamini basi ndiyo hivyo.

Ninachojaribu kukiona ni mtazamo wa kusema kuna fursa nyingine ambayo km nchi yetu ingekuwa mipango ya kukuza uchumi kwa nia ya dhati,basi tz ingepaa,asali yes ni muendelezo wa drama,"why do you need the new one yet you have fail to try,manage or utilize the old one"ujanja ujanja tu serikalini,sera za viwanda vya kati??tupa kule,tunaunda unda bodi,hakuna vitendo,mazingira mazuri na usimamizi mzuri kuwa na mfumo wa kuyaongezea thaman mazao yetu ingefaa sana
samaki
pamba
korosho
kahawa
asali
chai
imebidi wanajiita wajasiriamali kiujanjaujanja watumie fursa ktk baadhi ya maeneo tajwa hapo juu.Gold,asali n.k tz imebarikiwa sn ila haitaendelea.
 
Back
Top Bottom