Is it fair??

reina

Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
52
Reaction score
8
Is it fair kuwa na mtu usiempenda just bcoz yeye anakupenda na kukujali sana? Utakua unamtendea haki?
 
Is it fair kuwa na mtu usiempenda just bcoz yeye anakupenda na kukujali sana? Utakua unamtendea haki?

its not fair kwa kweli....you just tell him/her the truth......coz atapoteza energy yake bure kumbe wewe huko haupo.....

 
Hakuna fairness duniani, utajichosha tu! Follow ur heart na ogopa kumtenda Mungu dhambi, basi!
 
salama waungwana!...just salaam tu
 
Kwa kweli its not fair. Love is giving willingly and receiving what is given without forcing.
UTAFITI UNAONESHA: watu wanaokaa na watu ambao hawawapendi huku wao wakipendwa hufanya hivyo kwa sababu kuna kitu/vitu wanavyopokea ambavyo wao wanavihitaji kwenye maisha. Hii humuumiza anayetoa coz katoa kwa mapenzi so uhusiano unakuwa wa upande mmoja(parasitic) 1suffering-the other gaining
 
with two examples, define fair..
 
Thanx all kwa ushauri. Kama mtu ni kinganganizi nimfanyeje? Maana najitahdi kumwelewesha haelewi.kumwambia direct kwamba simpendi naona ataumia sana ila ananiambia nitake tym labda nitampenda. How can i learn to love?is it possible? Haelewi ananiambia anajua mie ndo mkewe
 

Lets say wametokea kama watatu ving'ang'anizi na wote wanaonesha kukupenda, utawakubalia wote?
 

It is possible to lern to love someone.
But do not force ur self in unhealthy relationship
Life is too short ni bora ufe kwa starehe kuliko kufa unateseka!
 
Fairly fair! Kwani nae si kaamuwa kukuganda huku akijuwa kuwa hujisikiii naye? Kama yeye ameamuwa kuishi kwenye upungufu kwanini usiungane nae?
 
Love cannot be forced,na penda unapopendwa.na usipende kwa sababu huna mtu wa kukupenda au wewe kumpenda.Make sure the love you have comes from your heart.Don't hesita
te to listern to your heart.

Don't love becouse people do.Just love where your hearts tell to do that.

Do not love someone,becouse u fill pity for him or her,eti kwa sababu anakupenda,u just force ur self to love,so u kan be good to everyone.

If u dont fil da love,let them Go..
 
Habari waungwana, kwangu ni fair kupendwa na usiyempenda coz atazijua weakness zangu then ntacope nae tu. She/He will be treating u good and fairly.
 
Hili jukwaa la wanawake au?

Ngoja nisepe...πŸ˜›eep:πŸ˜›eep:πŸ˜›eep:πŸ˜›eep:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…