Okoth p'Bitek
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,124
- 1,384
I mean existential crisis
Angalia ndugu yake na kurwa sasa hivi kwa mtaani anatamba na ubaya ubwela
Vijana mtandaoni wanahangaika na uwepo wa mungu, they feel his death
Viongozi wa serikali na dini wanacharuana hadharani! Iko wapi heshima?!
Kuongezeka kwa wimbi la hawa raia wasiokula nyama
Idadi kubwa ya upinzani kutoka kwa raia kwenda kwa mamlaka?
vita ya kimaadili?
vita ya kudai demokrasia, is how small folk adapt na watashinda, dini sasa hivi imemshinda anarudi kwenye siasa?!
Hahahahahahahaha I get mad sometime, wish he died for everyone to have his own table, time for recreation maybe
Kilichobaki ni chuki inaendelea kutafuna mifupa taratibu!
Waungwana hamjachoka tuu kutenda wema?
Aah sasa hivi mwanangu ni kufa mwenyewe tuu,
Aah mzee anazingua,
Mama amekuwa jimama
Somebody lost a son too
Baba anaitwa daddy right?!
Wanyama wameamka, ule utando unazidi kulemaa, watu wa lugha wanasema, god is dead in Tanzania too, hiki kirusi kwa sasa kinaanza na hizi sehemu ambazo kila kondoo alikuja na maadili yake. Halafu tutahamia kwa wale wenye maadili ya pamoja
Kwa kuwa mwili ni wa nyama na mungu anayeishi ndani yake tunamjua, tukumbuke tuu kuwa kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake
Pia mumpe mzee wetu wa lamba lamba salamu, mwambieni amechelewa japo alijitahidi, nnaambiwa na mama anatoa sana support ili watoto waangalie ottoman
Don't take me serious...........!!
Kuna wajuaji wa twitter wameniamshia ubaya kwa kusema bangi ni mbaya, kwa chuki niliyonayo inatosha kulipa hiki kisasa..
Angalia ndugu yake na kurwa sasa hivi kwa mtaani anatamba na ubaya ubwela
Vijana mtandaoni wanahangaika na uwepo wa mungu, they feel his death
Viongozi wa serikali na dini wanacharuana hadharani! Iko wapi heshima?!
Kuongezeka kwa wimbi la hawa raia wasiokula nyama
Idadi kubwa ya upinzani kutoka kwa raia kwenda kwa mamlaka?
vita ya kimaadili?
vita ya kudai demokrasia, is how small folk adapt na watashinda, dini sasa hivi imemshinda anarudi kwenye siasa?!
Hahahahahahahaha I get mad sometime, wish he died for everyone to have his own table, time for recreation maybe
Kilichobaki ni chuki inaendelea kutafuna mifupa taratibu!
Waungwana hamjachoka tuu kutenda wema?
Aah sasa hivi mwanangu ni kufa mwenyewe tuu,
Aah mzee anazingua,
Mama amekuwa jimama
Somebody lost a son too
Baba anaitwa daddy right?!
Wanyama wameamka, ule utando unazidi kulemaa, watu wa lugha wanasema, god is dead in Tanzania too, hiki kirusi kwa sasa kinaanza na hizi sehemu ambazo kila kondoo alikuja na maadili yake. Halafu tutahamia kwa wale wenye maadili ya pamoja
Kwa kuwa mwili ni wa nyama na mungu anayeishi ndani yake tunamjua, tukumbuke tuu kuwa kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake
Pia mumpe mzee wetu wa lamba lamba salamu, mwambieni amechelewa japo alijitahidi, nnaambiwa na mama anatoa sana support ili watoto waangalie ottoman
Don't take me serious...........!!
Kuna wajuaji wa twitter wameniamshia ubaya kwa kusema bangi ni mbaya, kwa chuki niliyonayo inatosha kulipa hiki kisasa..