Amtoe wapi? kama anataka photocopy amzae mwenywe
Unapo sema kile unacho kitafuta, ni sawa na kujitangaza
maana kwa kusoma vigezo watu wanaweka love connect
member anaweza kuhisi mwandishi ni mtu wa aina gani vile.
Bora useme kile ambachi hukitaki, kuliko kile unacho kitaka