Is it possible...??

Is it possible...??

Shixi889

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
338
Reaction score
208
Am i pregnant??please help...!!!!nipo katika kipindi kigumu sana niko katika mahusiano ambayo toka mwanzo tulikubaliana kabisa masuala ya kupata mtoto ni mpaka tuwe tayari na kwa muda wote tunatumia kinga.Na toka nikue sjawai kumiss period but mwezi huu mpaka sasa nimemiss period kwa siku kama 5 ivi sasa sielewi tatizo hapa ni nini is it possible nina mimba??but how??hata kama ni kweli nitaeleweka kweli hapa??

Please!!!!help!!!!
 
Unapofunga kibwebwe kiunoni lazima ujue kucheza mdumange, siku hizi mtu unaweza kujipima ukimwi, mimba na hata malaria bila kwenda hospital. nenda kwenye Pharmarcy wambie wakuuzie pregnant test inauzwa buku tu, utaelekezwa jinsi ya kuisoma kisha utagundua kama umenasa au la!
 
Unapofunga kibwebwe kiunoni lazima ujue kucheza mdumange, siku hizi mtu unaweza kujipima ukimwi, mimba na hata malaria bila kwenda hospital. nenda kwenye Pharmarcy wambie wakuuzie pregnant test inauzwa buku tu, utaelekezwa jinsi ya kuisoma kisha utagundua kama umenasa au la!

Asante kwa ushauri mkuu ntafanya hivyo but nimekuja jamvini kusaka ushauri zaidi maana it cant be possible inakuaje niwe preg wakti always natumia kinga??
 
Asante kwa ushauri mkuu ntafanya hivyo but nimekuja jamvini kusaka ushauri zaidi maana it cant be possible inakuaje niwe preg wakti always natumia kinga??

SHIXI889; Sikiliza, suala la kusema kuwa umetumia kinga si la uhakika kwa asilimia 100! No. Ndio maana wanakwambia kuwa kama kinga hujaitumia kikamilifu uwezekano wa kupata magonjwa/mimba ni mkubwa. Pia kumbuka kuwa mwenye ukweli juu ya hili ni mwanaume wala si wewe.
Mara nyingi mwanamme akiona mpenzi aliyenaye ni mtata wa kutaka kujifanya mtakatifu zaidi lazima atafanya kila awezalo akukomoe. Yawezekana yeye alijua anachokifanya na wala hiyo si bahati mbaya. ila sitaki kuwachonganisha ukamchukia, lijadilini hilo.
 
kapime na ki pregnant test mwaya,afu ndo tutajua jinsi ya kukuelekeza,maana hapa huna uhakika kama una mimba,n smtyms menstruation hua inachange sana tuu,kwa kila mwanamke,chakufanya kapime kwanza,af km unayo rudi jamvini for more elaborations,sawa mama
 
kapime na ki pregnant test mwaya,afu ndo tutajua jinsi ya kukuelekeza,maana hapa huna uhakika kama una mimba,n smtyms menstruation hua inachange sana tuu,kwa kila mwanamke,chakufanya kapime kwanza,af km unayo rudi jamvini for more elaborations,sawa mama
oldd vampire asante ntafanya hivyo...!!!!
 
Last edited by a moderator:
subiri wiki moja baada ya siku uliyokuwa ukitegemea Period yako, halafu pima mimba kwa hiyo Preg test
 
SHIXI889; Sikiliza, suala la kusema kuwa umetumia kinga si la uhakika kwa asilimia 100! No. Ndio maana wanakwambia kuwa kama kinga hujaitumia kikamilifu uwezekano wa kupata magonjwa/mimba ni mkubwa. Pia kumbuka kuwa mwenye ukweli juu ya hili ni mwanaume wala si wewe.
Mara nyingi mwanamme akiona mpenzi aliyenaye ni mtata wa kutaka kujifanya mtakatifu zaidi lazima atafanya kila awezalo akukomoe. Yawezekana yeye alijua anachokifanya na wala hiyo si bahati mbaya. ila sitaki kuwachonganisha ukamchukia, lijadilini hilo.

Trust me kwa swala la mtoto tulijadili kwa kina and i know him sio mtu wa kubadili msimamo kiasi hicho anyway!!!!gec i will do preg test thn after hapo ndo nimface!!!
 
Hakuna dawa zozote nazotumia isitoshe nina muda mrefu sana sijatumia dawa za aina yoyote!!!!

unaposema unatumia kinga unamaanisha Condom au? kama ni ndio, jamaa yako akirusha cha kwanza anabadilisha Condom au anaendelea nayo?? pia huenda kama ni condom kuna siku ilipasuka na hakukuambia.......
 
unaposema unatumia kinga unamaanisha Condom au? kama ni ndio, jamaa yako akirusha cha kwanza anabadilisha Condom au anaendelea nayo?? pia huenda kama ni condom kuna siku ilipasuka na hakukuambia.......
Yes ni condoms and ofcoz anabadilisha condom az ni lazma kufanya hivyo...!!labda kama kweli ilipasuka na akaamua kukaa kimya!!!
 
wapi Lerionka wa Lekakeny?!!
njoo ujibu if is possible to possibilize the mabosity
 
wapi Lerionka wa Lekakeny?!!
njoo ujibu if is possible to possibilize the mabosity

Hahaha bhikola umenikumbusha mbaliiii...

eniwei shixi log off nenda pharmacy njoo tupe majibu...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Shixi889, kuna mambo kadhaa yanaweza kusababisha kuchelewa kwa hedhi...kuwa mjamzito ikianza na vingine vikifuatia kama vile

-Msongo(Stress and Anxiety)
-Kutumia dawa(za aina mbalimbali hasa za uzazi wa mpango)
-Kupungua uzito sana au kuwa na uzito kupita kiasi
-Mazoezi makali sana ya mwili(excessive exercise)


njia rahisi ni kupima vichochezi(hormone) katika mkojo yaani b-hCG, hivyo unaweza kutumia hii kwa kununua katika Duka la Dawa ukiulizia UPT(Urine Pregnancy Test)..fuata maelekezo ya UPT,utatambua kama u mjamzito au la!
 
Mkuu Shixi889, kuna mambo kadhaa yanaweza kusababisha kuchelewa kwa hedhi...kuwa mjamzito ikianza na vingine vikifuatia kama vile

-Msongo(Stress and Anxiety)
-Kutumia dawa(za aina mbalimbali hasa za uzazi wa mpango)
-Kupungua uzito sana au kuwa na uzito kupita kiasi
-Mazoezi makali sana ya mwili(excessive exercise)


njia rahisi ni kupima vichochezi(hormone) katika mkojo yaani b-hCG, hivyo unaweza kutumia hii kwa kununua katika Duka la Dawa ukiulizia UPT(Urine Pregnancy Test)..fuata maelekezo ya UPT,utatambua kama u mjamzito au la!

Asante mkuu ntafanya hivyo...!!thou sababu ulizotoa hapo juu sio fact kwangu!!!
 
Just relax mimba sio ugaonjwa mama.....

Najua si ugonjwa na najua watu wengi wangefurahi sana kama wangekua kwenye situation kama yangu.But its just that kwenye malengo yangu to have a baby ilikua bado thats y napata tabu kidogo sitaki mtoto wangu aje kwenye dunia hii apate tabu whl nkijipanga hawezi pata shida yoyote!!!!
 
Back
Top Bottom