Najua si ugonjwa na najua watu wengi wangefurahi sana kama wangekua kwenye situation kama yangu.But its just that kwenye malengo yangu to have a baby ilikua bado thats y napata tabu kidogo sitaki mtoto wangu aje kwenye dunia hii apate tabu whl nkijipanga hawezi pata shida yoyote!!!!
Its almost a wik sasa.
Shamba umelima mwenyewe halafu unaogopa mavuno? Kama kweli ulikuwa na malengo ungesubiri. Kwani usingefanywa ungekufa? Ukikubali kuvua chu.p.i jua mimba ipo njiani
Kama condom ikipasuka anapo-ejaculate si ungesikia shahawa zikikuingia? Kama hukuzihisi basi siyo mimba; jipe moyo!Yes ni condoms and ofcoz anabadilisha condom az ni lazma kufanya hivyo...!!labda kama kweli ilipasuka na akaamua kukaa kimya!!!