NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 28
Mzee unabahati....kuna wengine sababu mjini ni maarufu sana huwa tunawavusha Zanzibar kujificha! Usafiri tu 150 USD kwa ndege wote wawili kwenda na kurudi na Hotel kule visiwani ya kawaida ni kama 75 USD piga siku mbili, hamjala wala kunywa na hujamfanyia shopping!
mazee hata mimi hayo hayo yamenitokea kukataliwa kudoo then nkaenda mega nje,enbwanae invoice yake si mchezo,lakini mimi nawalaumu sana wake zetu hawa,wanapenda sana kutumia kigezo cha kukunyima mechi mkiwa mumeudhiana mambo ya kawaida tuu,tena ya kutalk na kumaliza,yeye ananuna anasusa kila kitu,sasa ukweli ni kuwa wanaharibu aidi ya kujenga,mi nlijua nipo peke yangu kumbe looh,wnawake hawa wana mchango mkubwa sana kutuharibu kimaadili,si kumega nje tuu,unaweza toka kazini ukaamua daah kuliko niende hme nimenunuwa bora nipombeke till mid nite nkaangushe basi!!u cee wake zetu acheni adhabu za kijinga hizo!
Kimsingi ulikuwa na alternatives na ukachagua hiyo ambayo kwako uliiona ni rahisi. Ulikuwa na uchaguzi mwingine ambao gharama yake ni ndogo:
Gime clue my friend
Hahahaha ana maanisha penzi binafsi aka kujichua au punyeto.
No Fidel namuuliza lekanjobe kubinika ana klue ya cheapest way
Cheapest way ndo hiyo mkuu ya penzi binafsi.
Hayo ya raha kujipa mwenyewe noma tamu ya raha mpeane
Mzee starehe gharama mkuu.
Unalalamika pesa ndogo hiyo mm nilikuwa natoa 70,000 kulitachi nywele kila wiki sasa piga hesabu zingine hapo.