Is it true kwamba kama girl friend wako ana chunusi usoni, ukimpaka sperms zinaisha?

Is it true kwamba kama girl friend wako ana chunusi usoni, ukimpaka sperms zinaisha?

TONGINDI

Senior Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
174
Reaction score
32
Nahitaji kumsaidia mpenzi wangu kwani uso wake afadhali ya fenesi,
au kama kuna dawa mbadala u can tell me plz wadau.
 
hata mie nasikia hiyo kitu ila sijawahi kujaribu..maybe test halafu utuletee feedback

ila nasikia eti akichukua kakufuli kake wakati wa kuoga akajisugulia usoni kama dodoki ile asidi inayopatikana kule chumvini ni kiboko ya hiyo michunusi(ila haven't proved if true)
 
Ila nadhani watu wengi wanataka matokeo ya dawa yako hiyo,unaona hakuna majibu mazuri maana ni ngeni. Vuta subira nadhani watalaam pamoja na ma dr watakuja na majibu.
 
yaani huu ulimwengu,duuh haya kweli naona ya firauni,tafuta mafuta ya ubuyu apake au kuna alovera ya asili awe anakata anapaka yale maji yake itamsaidia
 
Japo mimi sio dr ila naweza kukusaidia ushauri.

Chunusi ni uchafu unaokuwa secreted na sebasous glands zilizoko ndani ya ngozi. Secretion hizi ni pamoja na jasho na excess fat na zinatakiwa zitoke nje kama jasho kupitia vitundu vidogo vidogo kwenye ngozi vinavyoitwa pores.

Mtu anapata chunusi baada ya hiyo secretion kushindwa kutoka kufuatia au ngozi kuwa na mafuta sana (oily skin) hivyo kuziba hivyo vitundu hivyo secretion kushindwa kutoka na kujidunduliza kuwa chunusi au mwili wake kutoa mafuta mengi zaidi, over secretion.

Kama ni vile vichunusi vya kawaida wakati akikaribia, hivi ni normal na hali ya kuja na kupita. Kama ni all the time hapo sasa huu ndio ushauri wangu.

Dawa ni
1. Apunguze vyakula vya mafuta ya wanyama mfano samli, nyama za mafuta na chips kuku wa kizungu.
2. Angeze mazoezi ya mwili ili kumtoa jasho na kuzibua zile pores.
3.Kunawa mara kwa mara kwa kutumia maji ya vuguvugu ili wakati wote kukausha mafuta vitundu viwe wazi!.
4. Atumie zile wipes za kuwafutia watoto mara kwa mara ila pia atafute wipes za ukweli kama za huggies etc maana famba zipo kibao!.
5. Asipake poda wala make up zozote zaidi ya dry lotion na inapobidi kupaka ahakikishe ananawa vizuri anaporudi home.
6. Kufuatia kuzitoboa au kuzikamua chunusi mara kwa mara, ngozi inakuwa demaged, kama kuchunika na vidonda vidogo vidogo, anything protein in nature in heal demaged skin!.

Vitu ambavyo ni protein in nature ni pamoja na parachichi, tui la nazi, juice ya tango, juice ya karoti, maji ya maharage au kunde, maji ya soya, asali mbichi, aloe vera, etc, etc, na sperms ni very rich pure protein!.

Angalizo:
Ziko chunusi nyingine ambazo zimepitiliza, zinaitwa acne, huu ni ugonjwa unahitaji matibabu hospitalini!.

Pasco.
 


heshima yako da preta..!!.. wanasemaje A- town .. ?! hili swali alouliza mkuu! mi nadhani ni under 18 huyu ..

A-town baridi kali lakini tunakomaa nayo.....kijana bado mdogo huyu doc....karibu mjini kwetu....
 
A-town baridi kali lakini tunakomaa nayo.....kijana bado mdogo huyu doc....karibu mjini kwetu....

sijawahi kufika A town bana! ila nina mpango nikirudi TZ at list nikafanye volunteer mount meru ... nina ndugu yangu njiro i hope haitakuwa mbali kivile
 
Back
Top Bottom