Kuna kazi ilitoka WHO lakini lazima mwombaji awe mwathirika, aliyeipata alidanganya ilikuwa scandal kubwa.Utakuta ndo fursa zitazidi kumfuata kwa mashirika mbalimbali kutaka kufanyakazi nae
Hata mimi ningefoji[emoji1] [emoji1]Kuna kazi ilitoka WHO lakini lazima mwombaji awe mwathirika, aliyeipata alidanganya ilikuwa scandal kubwa.
Kweli huu ugonjwa hauchagui, pale corner bar wazima ni wengi tu
Mpe pole huyo dadaMkuu jana nilimwona dada mmoja yupo sehemu fulani akipata LUNCH na Mchina. Mara nikakumbuka ile habari yako
Mpe pole huyo dada
Hizo habari si za kweli.Kweli huu ugonjwa hauchagui, pale corner bar wazima ni wengi tu
Tunashukuru kama ni uongoHizo habari si za kweli.
Houston Chronicle ni gazeti la kuaminika la Houston Marekani.
Hiyo website si ya Houston Chronicle. Wameongezea -tv.
Ni kama mtu aanzishe website ya habari na kuiita www.ippmedia-tv.com na kutaka kuwababatiza watu kwamba hii ni www.ippmedia.com
Fake news.
Ahahahahahaaaaa kwa watoto wa kiswazi wanaita hii in nyoko zaidi ya kumaninahata akiwa muathirika sisi haiwezi kutuathiri kwa lolote,maana hatuna access ya kumgegeda mkuu!