Is it true....?

My Sweet Cherries Belinda You know what, I am just thinking...It would be truly worthwhile to give up the world for your kiss...I can not stop thinking about you anyway Friday haiko mbali

Hebu wape experience yetu ....si unajua tena I am always here to give you a lovely backing

Masa
 
Akiulizaga anapata majibu , funny enough she cant deal with the answers she gets. Maybe wanawake sometime wanaencourage guys to lie because of the reaction we see due to their handling of the honest answers we give.

swali la kizushi:
Can you guys handle the whole truth ?
 
...Kina kaka ni vitu gani huwa hampendi muulizwe na vipi mnaona sawa kuulizwa? Kina dada je?

...sipendwi kuulizwa swali ambalo jibu lake lipo obvious!

mfano; mtu anakuona upo 'bize' na JF, anakuuliza " ...hulali leo? ", ebo! kwani mie ni mtoto mdogo nisiyejua time ya kulala?

...au, 'bahati mbaya' ulitoa intro kwa mamsapu kuhusu yule binti mrembo aliyeajiriwa ofisini kwenu. Siku ya siku mmekwaruzana kidogo mamsapu anaanza, "..hajambo yule 'fulani' ?!" ...halafu kila jibu utalolitoa linazaa swali jipya!
 
Sana tuu, personally i would rather have ackward moments of truth than mafumbo fumbo..demu katongozwa mchana mzima anauchuna.

Heee hata hii huwa mwataka tuwaambie? Wengine vifua vidogo jamani hamkawii kwenda kuwakwida mashati watongozaji. Wengine marafiki zenu jamani ah!!
 
Heee hata hii huwa mwataka tuwaambie? Wengine vifua vidogo jamani hamkawii kwenda kuwakwida mashati watongozaji. Wengine marafiki zenu jamani ah!!

hahahahaha...like u said wengine..yeye anaenjoy ukimpa story za mademu wao kufuatilia why not the other way...too bad she aint a member of JF, actually she hates it, sio mzalendo LOL..Therapy tosha!!
 


Mbu shem amekushtukia wewe ni striker mkali kabisa hahahaha hulali leo...mama yuko on..anakuhitaji....Binti mrembo ofisini anajua striker lazima mpira kati

Lakini lazima mjue

"Love is not about finding the right person, but creating a right relationship. It's not about how much love you have in the beginning but how much love you build till the end."

Masa
 


Inawezekana huwa si maana halisi ya hulali leo kwani yeye hajui kuwa wewe ni mtu mzima? Si ajabu anamaanisha anakuhitaji kitandani jamani Mbu!

Hiyo ya binti mrembo mh mie macho tu. Wengine hutoa introduction upande mmoja huyu dada tunafanya nae kazi halafu kamaliza sasa ukimwuliza mbona umeintroduce nusu anakuwa mkali. Tuwaeleweje?
 


....ha ha haaa...πŸ˜€ lakini huyo dada anakosea, kwanini mumuwe akipiga simu yeye acheke? πŸ˜€

...hata hivyo si amwambie tu mumewe, "...nimefurahi umenipigia mume wangu!"
 
....ha ha haaa...πŸ˜€ lakini huyo dada anakosea, kwanini mumuwe akipiga simu yeye acheke? πŸ˜€

...hata hivyo si amwambie tu mumewe, "...nimefurahi umenipigia mume wangu!"


ahahahaha ..this thread is way more entertaining than the rostam v mengi saga..tumechoka wengine.
 
Inawezekana huwa si maana halisi ya hulali leo kwani yeye hajui kuwa wewe ni mtu mzima? Si ajabu anamaanisha anakuhitaji kitandani jamani Mbu!

...haya, tuyaache hayo mambo ya 'pasi ya umeme, na pasi ya mkaa' (mpaka ipepewe)

...Hiyo ya binti mrembo mh mie macho tu. Wengine hutoa introduction upande mmoja huyu dada tunafanya nae kazi halafu kamaliza sasa ukimwuliza mbona umeintroduce nusu anakuwa mkali. Tuwaeleweje?

...ndio maana huona bora kuuchuna tu, ingawa baadae litakuja swali, "kwanini hukunitambulisha!"
 
hahahahaha...like u said wengine..yeye anaenjoy ukimpa story za mademu wao kufuatilia why not the other way...too bad she aint a member of JF, actually she hates it, sio mzalendo LOL..Therapy tosha!!

hahahaha kapinga kwetu wengine itakuwa ngumu asa mfano best friend wa mtu wako anakutokea of coz huwa wanajaribu kwanza ila ukikubali anakula then moto huku akiwa keshakuchafua PR yako. Sasa mfano kama huu akikutokea nawe ukamtolea nje kuna haja ya kukwambia openly kuwa best yako kafanya hivi au tuogope kuwa gombanisha?
 
....ha ha haaa...πŸ˜€ lakini huyo dada anakosea, kwanini mumuwe akipiga simu yeye acheke? πŸ˜€

...hata hivyo si amwambie tu mumewe, "...nimefurahi umenipigia mume wangu!"

Ahi! Asa si ndo uongo wenyewe huo au wa hivi unaruhusiwa?
 

Mi na chafua tuu...ili mradi waifu can handle the heat, coz wengine huwa wanasikiliza marafiki zao sana...
 
Kuna mtu kauliza swali la kujiexpress? Naomba nione tafadhali....na ukitaka kujua mtu anatumia mtandao huu au hatumii utaulizaje?
 
Sana tuu, personally i would rather have ackward moments of truth than mafumbo fumbo..demu katongozwa mchana mzima anauchuna.

...tena ukimkazia macho akuambie ukweli kama hajatongozwa anaanza kujichekesha chekesha! aisee inaudhi wewe! 😑
 
Ahi! Asa si ndo uongo wenyewe huo au wa hivi unaruhusiwa?

Mj'1, bora mamsapu aniambie hivyo kuliko aniambie; '' ...si huyu 'chokoraa' alikuwa akinishika shika! '', loh! ...na kazi itakuwa basi siku hiyo hiyo! πŸ™
 
Mi na chafua tuu...ili mradi waifu can handle the heat, coz wengine huwa wanasikiliza marafiki zao sana...


Duh kaaaazi kweri kweri umenikumbusha zamani kuna BF wangu mmoja aliwahi kunituhumu kuwa na mahusiano na best friend wake kisa huyo shemeji yangu alinitokeaga nikamtukana sana ila sikumwambia BF zaidi ya kuishia kumwambia yule rafiki yako simpendi, ukiulizwa kwa nini nasema basi tu simpendi moyo haunipi kabisa yaani ikiwezekana ukiwa nae usiniite wala msinipitie kazini. Ila alipokuja kusikia toka kwa friend yake mwingine (nadhani that guy alikwenda kumsimulia) asinigeuzie kibao kuwa nilikuwa natoka naye? pamoja na kuelezwa nilivyo mtukana!! Basi nikajifunza tangu siku hiyo huwa nasema halafu watajuana wao.
 
Mj'1, bora mamsapu aniambie hivyo kuliko aniambie; '' ...si huyu 'chokoraa' alikuwa akinishika shika! '', loh! ...na kazi itakuwa basi siku hiyo hiyo! πŸ™


na kweli lakini bora hivyo!!
 

...naam. Hata mimi ningekuwa yeye (BF wako) ningefikiria the same. Kuficha maana yake ulitaka kuweka kiporo, siku ya siku uje ukile kwa nafsi yako. Ukimpiga kibuti 'shemeji yako' niambie tu ukweli, ukisema "..yaani, namchukia basi tu", am receiving wrong message.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…