Is it true....?

Penny

Usituharibie wake zetu bana....my honey can not do that to me....believe it....kwanza hana mambo ya kiswahili...got it?

Mamii Penny hajaharibu kivilee nadhani alikuwa anatoa experience za upande wake ambazo ni tofauti na maisha ya kwetu sisi, si unajua kila mtu na mapishi yake my dear?!..
 

Shosti hapa umeniacha hoi maana mimi na mashosti zangu tunapenda sana kutumia huu msemao( in bold)..I hope sikufahamu, maana nimecheka kweli..
Kumbe unayajua maguberi....he he
 
Shosti hapa umeniacha hoi maana mimi na mashosti zangu tunapenda sana kutumia huu msemao( in bold)..I hope sikufahamu, maana nimecheka kweli..
Kumbe unayajua maguberi....he he

My kipurply, pengine yawezekana chemistry zetu zinarandana...niache kuyajua shosty! na kila sababu ya kuyafahamu kama ni mtoto wa mujini especially my beloved Bongo land.
 
Penny

Usituharibie wake zetu bana....my honey can not do that to me....believe it....kwanza hana mambo ya kiswahili...got it?

... baada ya miezi sita ya ndoa, au akijitahidi sana, baada ya kukuzalia mtoto mmoja tafsiri yake itakuwa kama hivi;

" liambie hili lijanamke bana.... mke gani kero tupu....believe it.... kwanza lina mambo ya kiswahili...!" 😀
 
Ni vitu gani tusivyopaswa kuviuliza (kutaka kuvijua) toka kwa wenzi wetu?

" ...unamuwaza nani?"
 
" ...unamuwaza nani?"

Ok, na je, ukiuliza "unawaza nini?", ...pengine unamkuta kazubaa kama mjusi kabanwa na mlango au unamuona hiyo siku yupo yupo tuu hana raha utadhani anamsiba vile!
 
Ok, na je, ukiuliza "unawaza nini?", ...pengine unamkuta kazubaa kama mjusi kabanwa na mlango au unamuona hiyo siku yupo yupo tuu hana raha utadhani anamsiba vile!

...akikujibu "...siwazi lolote!" utaridhika?
 
...akikujibu "...siwazi lolote!" utaridhika?
Itabidi tuu niridhike maana kama hataki kusema siwezi kumlazimisha ndo maana nikatimiza wajibu wangu wakuuliza...kumbe haipaswi kuuliza iwapo utaona tofauti! Hee, sasa mnataka muishi kama wanyama jamani.
 
Itabidi tuu niridhike maana kama hataki kusema siwezi kumlazimisha ndo maana nikatimiza wajibu wangu wakuuliza...kumbe haipaswi kuuliza iwapo utaona tofauti! Hee, sasa mnataka muishi kama wanyama jamani.

...ha ha haaa

...wanasema "it is not what you say, it is how you say it" which makes a different!

fikiria mamsapu anakuuliza; " unamuwaza nani ewe mume wangu mpenzi?"

wala haitokuwa shida kumjibu mkeo; "namuwaza yule Latifa ewe mahabouba wangu!" 🙂
 
My kipurply, pengine yawezekana chemistry zetu zinarandana...niache kuyajua shosty! na kila sababu ya kuyafahamu kama ni mtoto wa mujini especially my beloved Bongo land.

Kabisa beste yaani nimeshangaa kimtindo ila safi sana!..Waarabu wa pemba twajuana kwa vilemba shosty wangu, ha ha
Mutoto ya Mujini weye au siyo!..Inapendeza,bongoland tambarare. Kila kitu yaani kuanzia mabomu, ha ha
 
Kabisa beste yaani nimeshangaa kimtindo ila safi sana!..Waarabu wa pemba twajuana kwa vilemba shosty wangu, ha ha
Mutoto ya Mujini weye au siyo!..Inapendeza,bongoland tambarare. Kila kitu yaani kuanzia mabomu, ha ha

Swadakta shosti! poleni kwa mabomu...maana naona baghdad iliwawakia kiana. Anyway ndo mazoezi yenyewe hayo...nilisikitika sana kukosa Jeshi yani! lakini nililipataga kazoezi kajeshi kwa sekondari moja niliyosomaga kule lushoto ilikuwa ya masister...natumaini umeipata shosti, so am not bad also katika maswala ya kulala chini chali.
 

Umenichekesha kweli, eti 'am not bad also katika maswala ya kulala chini chali'..Unajua hapo umemaanisha nini? Maana kama upo mbali kidogo na mabomu hulali chali bali kifudifudi hata kwenye movie naonaga hivyo.Mweeh!JKT mwenyewe najua historia yake ila haijanipitia,nimekupata mambo ya lushoto pazuri acha tu..Anyway shosty,tatizo umeshazoea lugha ya malkia na kiswahili mpaka kinakutoka..ha ha ha
 
Siri siri za nini mwisho maugomvi tu. Bora kuwa very open ktk mahusiano/ndoa. Very open. Open indeed.
 
Usisite kunisahihisha my shosti siunajua tena lugha ya mama ni ngumu kuisahau hata kama zitaingiliana na lunga za kina thacha!
 
Usisite kunisahihisha my shosti siunajua tena lugha ya mama ni ngumu kuisahau hata kama zitaingiliana na lunga za kina thacha!
Penny za siku mbona umeadimika jamani kwenye jukwaa letu tukufu hili? Au umeamia kwenye siasa?
 
...tena ukimkazia macho akuambie ukweli kama hajatongozwa anaanza kujichekesha chekesha! aisee inaudhi wewe! 😡

hivi kwa mfano??? dem akakwambia ametongozwa itakusaidia nini????
 

ha ha ha ha ha kapinga kapinga....im laughing alone here like an ideot!!! hilo jicho linakuwagaje???lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…