General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Zitto huwezi mfananisha na Makamba hats chembe.Awali ya yote, CCM wameacha lini kale ka mila ka kuachia amalizie muda wake? Oh! Ndo tatizo la kuandika Vizungu haya... hadi tupekue madikshinari... kumbe hata upinzani!!!! Kabisa kabisa unaamini January anatosha kwa chama kama CHADEMA? Hivi January huyu ana ubavu hata wa kumshinda Sugu kule Mbeya? No... unfair comparison!! Tumchomoe Zitto kule Kigoma na January kule Lushoto halafu tuwapeleke Kinondoni au Temeke au Ilala wakagombee Ubunge! Hivi January anaweza kutoka mbele ya Zitto?
Usitoke nje ya madaHicho kizungu chako unatafuta tu kutukanwa bure hapa! Uko kidato cha ngapi?
hata Bwana Magu hawezi kumtoa ZZK atashindwa tuAwali ya yote, CCM wameacha lini kale ka mila ka kuachia amalizie muda wake? Oh! Ndo tatizo la kuandika Vizungu haya... hadi tupekue madikshinari... kumbe hata upinzani!!!! Kabisa kabisa unaamini January anatosha kwa chama kama CHADEMA? Hivi January huyu ana ubavu hata wa kumshinda Sugu kule Mbeya? No... unfair comparison!! Tumchomoe Zitto kule Kigoma na January kule Lushoto halafu tuwapeleke Kinondoni au Temeke au Ilala wakagombee Ubunge! Hivi January anaweza kutoka mbele ya Zitto?
Kale ka mila kananoga shibe ikiwa imetamalaki, si katika usawa huu ambao waliozoea kutoa kontena mia bila kuzilipia anabanwa kulipia ushuru wa hata kakontena kamoja!Awali ya yote, CCM wameacha lini kale ka mila ka kuachia amalizie muda wake? Oh! Ndo tatizo la kuandika Vizungu haya... hadi tupekue madikshinari... kumbe hata upinzani!!!! Kabisa kabisa unaamini January anatosha kwa chama kama CHADEMA? Hivi January huyu ana ubavu hata wa kumshinda Sugu kule Mbeya? No... unfair comparison!! Tumchomoe Zitto kule Kigoma na January kule Lushoto halafu tuwapeleke Kinondoni au Temeke au Ilala wakagombee Ubunge! Hivi January anaweza kutoka mbele ya Zitto?
Basi itoshe tu kusema huifahamu siasa!! Makamba hamna siasa anazozijua zaidi ya siasa za Twitter wakati mwenzake Twitter yupo, on ground yupo!!!Zitto huwezi mfananisha na Makamba hats chembe.
Zitto amejaliwa kwenye mdomo ila kwenye mikakati he is nothing.
Naunga mkono hojaUhuru wa kutoa maoni wakati mwingine unatumika vibaya.
Atakuwa graduate wa political science so anajaribu kujifunza namna ya kufanya uchambuzi km baba yao Benson banaHicho kizungu chako unatafuta tu kutukanwa bure hapa! Uko kidato cha ngapi?
Ndoto nyingine hiiYes.
Is January Makamba who is going to take the throne in General election 2020.
He will beat up the president Magufuli either in his CCM political part during nomination of presidential race or through Opposition party.