Is Mufuruki suffering the colonial legacy or nobility syndrome?

Hivi huyu chizi alishajibu haya maswali yako? Sasa naona kadaka issue ya Assad! eti anamuona ni coolest! Udini unatuletea taabu sana!
 
Nasikia kwamba Bwana Mufuruki aliwahi kuwa mwenyekiti wa bodi ya shirika la ndege laTanzania (atc). Anaweza kutueleza kulitokea nini mpaka shirika letu kufikia hatua ya kuwa hoi bin taabani
Ni mtu tu mwenye traits za wizi na kwa sasa anaamini yeye kuina pia ni sehemu ya ubora wake, kama uonavyo mbakaji akijivunia vitendo vyake.
 
Nasikia kwamba Bwana Mufuruki aliwahi kuwa mwenyekiti wa bodi ya shirika la ndege laTanzania (atc). Anaweza kutueleza kulitokea nini mpaka shirika letu kufikia hatua ya kuwa hoi bin taabani

Mufuruki akiwa Mwenyekiti wa shirika letu la ndege, walilihujumu sana shirika akishirikiana na makaburu wa SAA. Hawa wakina Mufuruki ndio genge liie lile la Sahamte wa Mkonge; wanajifanya wafanyabiashara wazalendo huku nyuma wao ndio wanakwepa kulipa kodi na kushirikiana na wageni kuiba rasilimali za Taifa!!
 
Hivi hakuna wabongo wanaosoma huko nje kwenye elimu za kuwaandaa hao CEO's? Au tukisema mbongo lazima awe amesoma hapahapa bongo miaka yote?Mimi naamini wapo wabongo wenye hizo sifa, iwe walisomea hapa ndani au nje, lakini wabongo wapo wenye sifa ,asitudanganye huyo bilionea.
 
End of the beginning! You can see even doctors trained in the RSA can fail rescuing one's life!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…