Utakuwa unatumia infinix bila shakaKatika pitapita mitandaoni nimekutana na hili....
Wakenya wako vizuri sana hawa majirani zetu.
Is Singer Nandy Really Tanzanian or Kenyan? Scooper - Entertainment News: Is Singer Nandy Really Tanzanian or Kenyan?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa unatumia infinix bila shaka
God doesn't require us to succeed,he only requires that you try
She is Kenyan....
Same Kilimanjaro Tanzania which is also in Kenya.....
Anything else Sir?
Yani ndugu yangu kabisa ukabishana kuhusu hio mada? 😂Si mpokoti wa Turkana huyo?
Kuna siku nilikuwa nasafiri nikakuta Mkenya anawaambia Wazungu mlima Kilimanjaro upo Kenya.
Tulibishana saana hadi akanuna...akaniambia Kenya wamefundishwa hivyo.
Wageni wanamwambia lakini mbona tunajua upo Tanzania anasema hapana. Tanzania wanaona kilele tu.
Ningemfanyaje sasa...anadanganya watu.Yani ndugu yangu kabisa ukabishana kuhusu hio mada? [emoji23]
Wakenya ni shiidaaaaSi mpokoti wa Turkana huyo?
Kuna siku nilikuwa nasafiri nikakuta Mkenya anawaambia Wazungu mlima Kilimanjaro upo Kenya.
Tulibishana saana hadi akanuna...akaniambia Kenya wamefundishwa hivyo.
Wageni wanamwambia lakini mbona tunajua upo Tanzania anasema hapana. Tanzania wanaona kilele tu.
Na Magufuli ni rais wao.Ningemfanyaje sasa...anadanganya watu.
Nilimkomalia hadi akakubali...Mgeni mmoja akapiga wimbo wa Yamoto nimeusahau jina akadakia hao pia ni Wakenya.
Hapo hasira zikanipanda nikasema acha nirukie mada tu maana huyu boya kaanza Kilimanjaro nimekaa kimya sasa na Yamoto pia nimnyamazie.
[emoji23][emoji23][emoji23] ulikuwa na haki ya kupata hasira..maana Mimi niliyesoma andiko lako nimepatwa na hasira sipati picha uliyekuwa eneo la tukio.Ningemfanyaje sasa...anadanganya watu.
Nilimkomalia hadi akakubali...Mgeni mmoja akapiga wimbo wa Yamoto nimeusahau jina akadakia hao pia ni Wakenya.
Hapo hasira zikanipanda nikasema acha nirukie mada tu maana huyu boya kaanza Kilimanjaro nimekaa kimya sasa na Yamoto pia nimnyamazie.
Yaani...uje tupozane hasira basi.[emoji23][emoji23][emoji23] ulikuwa na haki ya kupata hasira..maana Mimi niliyesoma andiko lako nimepatwa na hasira sipati picha uliyekuwa eneo la tukio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes nimehisi hivyo pia.
Aiseee apo cjakuelewa kwelMfinananga wa kiriki Leo Ni mpare....ughweno,Shighatini,kiriki,usangi.............duuu