Your threat ipo very mindless Maana Kama Vifo vya theism ndio vimekuwa hivyo basi ni vichache sana so maybe wao ndio wapo right maana Wale Non theism vifo vyao ndio vibaya sana tukiana kuweka List unaweza Kimbia hadi uchoke na ufe kifo Kibaya....
1. St. Stephano alipigwa Mawe kama Mwizi na alikuwa anamshika Mungu kuliko wewe...
2. Jesus Yeye alitundikwa kwenye Msalaba
3. Mohamary Gaddafi Kifo chake kilikuwa ni Noumer sana maana hadi wampachika kitu back...
4. Saudia Mahujaji walikuwa wanakufa kwa Sun wave na wengine walikuwa wanakufa kwa Moto wa Gas ya Majiko yako hadi walikuwa wanabaki Mikaa...
5. Huko Iran hufa kwa Matetemeko ya Ardhi wengine hawajui hata wamefanya makosa yapi... na wanaopona humshukuru Mungu wao kuwa kawanusuru...
6. Matukio ni Mengi kuliko Maelezo Nani Mwokozi wenu na ni Mwokozi kwa Adui Yupi?