Duh kuhusu what happened to mase and puffy sijui lakini nimeona very disturbing stories online ambazo sitaki kuziamini na huenda ni uongo lakini ngoja niwape make up your own mind duhh hizi lazima zitakuwa ni uongo...
Wakuu msinimalize hata mimi siziamini source romours hazina uhakika from Mase Tells all about his relationship with Puff and life at BadBoy ENT!
I repeat these are just romours
Je na bibi wa vimini Tina Turner utamuweka kundi gani?ofcourse 'Hero'au 'Best',ile miguu ni kama ya akina Amber na uso kama wa under 18,kuna watu Mungu alitumia saa24 kwa siku, siku 7 kwa wiki, siku 365 kwa mwaka kuwaumba.Sisi wengine hakuchukua hata sekunde na akatwambia haya wewe tayari haya ondoka ,we TT njoo .
Nadhani lakini ni uongo its just haters.., lakini ukweli ni kwamba lifestlye ya ki-Bad Boy ilimscare Mase akaamua kumrudia Mungu, lakini alivyojaribu kurudi tena kwenye Rap naona time ikawa ishampita na akawa a bit rustyDid not see this... Thanks VOR...
Nadhani lakini ni uongo its just haters.., lakini ukweli ni kwamba lifestlye ya ki-Bad Boy ilimscare Mase akaamua kumrudia Mungu, lakini alivyojaribu kurudi tena kwenye Rap naona time ikawa ishampita na akawa a bit rusty
Mi pia nilipoanza kuona the event kuna watu nilianza kuwatilia mashaka kuwa si wa kawaida akiwemo pdidy na jay z hawa jamaa siwaelewi maana hawazeeki kabisa!nimeimiss the event cjui lini itaanza season two maana ya kwanza ni sooasha d,madona wa kwenye 4mins waliyofanya na timberlake naye anaingia kwenye list kama sio vimpaire basi ye ni kama wale watu wa kwenye series ya the event
Anafira wanaume wenzake, hafai hata kidogoHuyu jamaa ukimwangalia toka kwenye video ya ''hate me now'' yuko na nas escoba hadi sasa na album yake ''last train to paris'' yuko vilevile,ki-vimpire vimpire hellena angemwuliza,'for how long he has been 22yrs old' guys did you notice this,p.didy is not growing old!