Is President Kagame behind General Imran Kombe's assasination?

Kilichompata imran kombe kitampata Apson pia,time will tell.Kagame mnampa uwezo mkubwa ambao hana,naona hata yeye wakati mungine anawashangaa!
 
Kagame uliekua unaombea aje Tanzania ndio tayari kaja, au bado unamuomba Mungu?
 
Nasikia hata vifo vya kina Sokoine, Kolimba na Nyerere, Kagame alihusika sana, huyu mtu ni hatari sana inabidi serikali imwangalie kwa karibu na ikibidi kufanya mipango ya kumwondoa pale, kale kanchi kadogo sana tukiamua kukachukua ni siku moja tuu.
That monents kagame was nothing na alikuwa bado kijana mdogo. Najua watanzania sisi wajinha to maxmum tunasema tu vitu haya hatuvijui, unakita mtu mshipa umemtoka pima.anasimulia.
 
Kagame uliekua unaombea aje Tanzania ndio tayari kaja, au bado unamuomba Mungu?
Umeikurupua wapi hii post madam? Yaani nikikueleza ninavyoshukuru hutoamini. Na hata nikikueleza yaliyonikuta wakati ninamkampeinia mwaka 2015 hutoamini vilevile. Ila kikubwa ni kuwa nimeshukuru na kufurahi mno kwa kumpata Kagame wetu.
 
Maombi yako yamejibiwa mkuu
 
Asee hii ni post yangu mkuu? Asante sana mkuu kwa kunirudishia post hii na maombi niliyotoa..Binafsi alipopatikana huyu Kagame wetu hata upinzani niliuona hauna faida..
Huyu jamaa ameuvaa upinzani haswa na kuamua kwenda maili nyingi zaid ya PK. Tuombe Mungu dhamira yake ya dhati juu ya taifa hili itimie.
 
Huyo siku hizi ni malaika bana ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kagame anajua anachokifanya, usidhani TISS haina watu wenye akili, tatizo ni namna inavyowa-utilise, afisa wa usalama haendi na wakati, nchi hii inavichwa sema kubweteka kwa taasisi kutokana na kufanya kazi kwa mazoea:A S embarassed:

Wanasiasa ndio wanayo iharibu Tiss, Tukiweza kutofautisha TISS na CCM basi TISS itakuwa bora kuliko wakati wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…