Ndallo JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 7,619 Reaction score 4,299 Jun 7, 2012 #1 Dada kashaanza kupiga msuba kwa kwenda mbele! Yaleyale ya kina marehemu Whitney Huoston na kina Michael Jackson! Na hapa ni baada ya kuzidiwa na madawa ya kulevya na kukimbizwa hosptali.
Dada kashaanza kupiga msuba kwa kwenda mbele! Yaleyale ya kina marehemu Whitney Huoston na kina Michael Jackson! Na hapa ni baada ya kuzidiwa na madawa ya kulevya na kukimbizwa hosptali.
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Jun 7, 2012 #2 Loh hiyo issue ya hospital niliona vyombo vya habari kuwa alikuwa na Fatigue baada ya kutumia muda wake mwingi bila kupumzika?
Loh hiyo issue ya hospital niliona vyombo vya habari kuwa alikuwa na Fatigue baada ya kutumia muda wake mwingi bila kupumzika?
Ndallo JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 7,619 Reaction score 4,299 Jun 7, 2012 Thread starter #3 Na hicho kijiti je?
ney kush JF-Expert Member Joined Feb 16, 2012 Posts 1,407 Reaction score 916 Jun 8, 2012 #4 mh! hapo hospital ni kutokana na kufanya kazi mda mwingi bila kupumzika bro...
Baba Sharon JF-Expert Member Joined Oct 22, 2010 Posts 372 Reaction score 253 Jun 8, 2012 #5 Dah mastaa wao wakifanya kazi muda mrefu bila kupumzika wanalazwa wao si binadamu..............washusha cement/Vibarua wao hawachoki wakalazwa maana si binadamu........huyo ni ganja zake na madawa yamemzidi no excuse mpaka yamkute ya Whitney
Dah mastaa wao wakifanya kazi muda mrefu bila kupumzika wanalazwa wao si binadamu..............washusha cement/Vibarua wao hawachoki wakalazwa maana si binadamu........huyo ni ganja zake na madawa yamemzidi no excuse mpaka yamkute ya Whitney
The_Emperor JF-Expert Member Joined Mar 23, 2012 Posts 871 Reaction score 125 Jun 8, 2012 #6 Hilo teja,kavurugwa na C.breezy!Maisha yake na bwanake huyo wa zamani yanaelezeka kwenye video ya wimbo "We found love"
Hilo teja,kavurugwa na C.breezy!Maisha yake na bwanake huyo wa zamani yanaelezeka kwenye video ya wimbo "We found love"
The_Emperor JF-Expert Member Joined Mar 23, 2012 Posts 871 Reaction score 125 Jun 8, 2012 #7 Hilo teja,kavurugwa na C.breezy!Maisha yake na bwanake huyo wa zamani yanaelezeka kwenye video ya wimbo wake "We found love"
Hilo teja,kavurugwa na C.breezy!Maisha yake na bwanake huyo wa zamani yanaelezeka kwenye video ya wimbo wake "We found love"
D daisy Senior Member Joined Jan 22, 2011 Posts 147 Reaction score 70 Jun 9, 2012 #8 i like Rih so much nasikitika anavyojiharibia.