Is she still in love au nipo pending?

Is she still in love au nipo pending?

Jrocker

New Member
Joined
May 31, 2021
Posts
4
Reaction score
1
Habari wanazengo

Nipo na gal tumedate since high school lakn recently nmekuja kugundua anaongea na mchizi mwingne na mchizi yupo very close na dogo.. nmejaribu kumkanya lkn naona dogo yupo attached.

Lakin kila ntakacho ananipa.. except to unajua mnshare romantic moments and presence na mshikaj mwingne

Je, nijiongeze nisepe au nitulie tu?
 
Nia yako ni kuoa au kutumia buree? Ukishajibu ndio tutakushauri vizuri
 
Kula futa mdomo kaa pempeni...

Mambo ya chakula kimepitia njia gani achana nayo.
 
Mkuu achia ngazi,,, mtumie tu kama mbadala wa sabuni... Usiwekeze lolote kwake...

Endelea kujilia vitu,,, usisahau kinga.
Asante
 
Una uhakika anakucheat?? Kama huna uhakika tulia, demu kua na marafiki wa kiume kawaida hiyo.
 
Papuchi ndiyo kila kitu, kama unapata iyo kitu bila masharti, tulia
 
Back
Top Bottom