Waungwana,
Nakumbuka Prof mmoja wa education pale UDSM, alituuliza: Kama una very limited resources, uziweke wapi? Kwenye biashara ambayo una uhakika mwanao huko mbele ataweza kupitia biashara hiyo kumudu maisha duniani AU uiweke kwenye elimu ya mtoto ambayo ambayo huji kama atasoma kweli na atapata ajira kama ilivyo sasa?
Niko kwenye dilemma! Najua wengine mtasema if you think education is expensive, try ignorance, but I am perfectly sure this does not apply in any situation, universal, all weather!!!!!