Is there any kind of cold war here?

Hik! Hik! Au jamani yule MUNISI pale pembeni ya chemba la KITIMOTO pori..... Hata kuandika jina lake hajui Hik! Hik! Emmmm! lakini kwanini anatishia UIMARA wa ndoa ya mama Matesha? Hick! Hick! Orait! Orait!

Aaaaam Hik! Hik! Anyway! Hebu subiri!
HEHEHEHE!
habarr yake mary......!HABBBBBBBBAAAAARR AKE MUNISI!...
kuna huyu mshikiiz wa hapa ETIENS..!pamoja na kila kitu mbona ananisababisha niwashe tukutuku langu VRUUUUUUUUUUUUMMMMM mpaka basihaya KILA SIKU!....yani nakwambia kila siku!
hick! hick!......
HABARR YAKE MSHIKIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIZZZZZZZZZ
hivi amesoma yule?
 
Hapa leo ni.... Ngoja... Hey Mary hick hick hick... Valeur hapa... Umesoma wewe? Hick hick hick! Leta pombe hapa!

Asprin..... Kiuno kimepona??...:shocked:

hapo kwenye red ndo mambo yote. sio wote waliosoma wameelimika.
lakini tukirudi kwa thread, ni kweli hayo uliyosema Carmel, na kwa kusema kweli huwa nasikitika sana jinsi wadada tunavyopeana vijembe kisa elimu:confused2: tutiane moyo wamma jamani

Hivi wanaume hatuna Vijembe?

Hilo swali ndo unamwelekezea eliza apo hommie? Hapa napigana na mbu flani ivi anataka kuharibu starehe yangu apa....lol

MBU??...:confused2::confused2:


Kwa hiyo akina Eliza ndo hawajasoma au ndo hawajaelimika?


Huyu naye kaambukizwa ma-hick hick ya Asprin... Angalia asikuambukize ugonjwa wa kiuno, Fizio yuko bed rest... ile kitu ya miezi 9 inampa tabu...

hahahaha umenichekesha Kaizer hapo nilipo-Highlight:A S-coffee:

Bora ucheke mpendwa... Lakini Mama wa Kwanza... Una Vidigirii Vingapi mpendwa... maana naona huna vijembe...


Sasa hizi hick hick za asubuhi ni mnazi au gongo?? au ndio vidigirii vya kiume??...:confused2:
 

Hahahahaha! Hik! Hik!

Kina dada msisome sana Hick Hick! Sisi hatupendi shule zenu hick Hick! Tunapenda ile kitu hick hick hick!

Si mnaona biggy huwa nachoma mafuta naacha wasomi kibao hapa kati hick naelekeza nguvu hick...hick na akili zangu hick maeneo ya hick hick kiwanda hick cha sementi hick hick....hivi amesoma yule? hick emmm orait! Misiba mingine bana hick emmm orait hi...😛layball:😛layball:
 

Eem! Hick hick! I mean hick! aaaam! hick kwani kuna uhusiano wowote wa hick! kiuno na Hick hick eeeeem kusoma emmm naaa hick hick!!

Hivi maaskofu mmesoma au mme hick hick elimika?
 
Tatizo ni nini mtu akiamua kumwita mwanae jina lolote analotaka? liwe la kijadi au la kisasa, whats the big deal? kwa nini ionekane anajidai? why? hii ndo point why?
 
Haaa.....sasa Carmel....tuanzie na wewe, being a woman, upo kundi lipi la learned au kina "kayumba':becky::becky:

Of course niko kwenye kundi la kina kayumba, lakini hiyo hainizuii kuwaonea huruma wenzangu waliobahatika kubukua, i just feel that they dont deserve matatizo wanayopata kwenye jamii as if kwenda shule ni kosa kubwa walilofanya.
 
Hiyo ndo tatizo lenyewe, kama degree sio ishu, nafikiri kufanikiwa au kutofanikiwa hakutegemei elimu, so sioni kwa nini watu wanyanyapaane kisa huyu kasoma huyu hajasoma, kila mtu ana nafasi ya kufanikiwa kulingana na jitihada zake, mbona pale kariakoo karibu wachaga wote na wakinga wanaongea habari za dola tu kila siku na wengine hata darasa la saba hawajamaliza, na kinyume chake wasomi wengi tu wenye midegree yao wanaamka kila siku kwenda ofisini na kulipwa laki tano kwa mwezi, so hakuna haja ya kunyanyapaana.
na we NN acha kucompare huko kwenu na africa na mbaya zaidi tz, ni sawa sawa kulinganisha ardhi na mbingu. ndo maana watu wanabeba mabox tu huko na wanasurvive wakati huku ukibeba box kwa muhindi unalipwa 2000 kwa siku.
 
Naona tayari umekwisha anza. Hivi first anniversary tayari?
 
Naona tayari umekwisha anza. Hivi first anniversary tayari?

Hick! hick! emm anivesare ya hick hick digrii ya ngapi ammm hick orait ok ok you mean infiii emmmhick!hick! ile projekti ammm hick! hick!
 
Carmel, pamoja na kuwaonea huruma wadada wasomi na maswahibu yote wapatayo kutoka kwa wadada wasio soma, tukiwa wakweli tu, hawa learned sisters nao hujitakia hayo wayapatayo! Maana ukweli ni kuwa ni kweli kabisa wengi wao sisemi wote, wengi wao huwa ni watu wa maringo sana na wanaojisikia sana na mbaya zaidi ni wenye dharau za ajabu sana sio tu kwa wadada wenzao hata kwa wanaume pia. Ngoja nikupe kisa kimoja kilichonishangaza sana. Kuna dada mmoja yeye ni msomi ( ana shahada ya uzamivu sasa), amezaliwa Ifakara,kwa sasa anaishi Morogoro mjini ni rafiki yangu ( just a friend), alikuja kunitembelea siku moja, wakati huo mimi nlikuwa nafanya kazi sehemu moja inaitwa Chita huko karibu na kihansi. Yule dada alinishangaza sana pale aliponiuliza eti " yaani wewe na usomi wako wote unakuja kufanya kazi huku"! Hebu fikiria kama sio dharau ni nini? Maana mimi nimesomea profession inayonitaka nifanye kazi nyingi vijijini, sasa yeye aliona kama naudhalilisha usomi wangu! Hii kwangu mimi nilichukulia kama ndio hicho kiburi na maringo yake ya kisomi! I think they deserve what they get from their fellow Sisters!
 
hapo juu mbona mnapoteza utamu wa thread jamani...
 
Na hili ndilo tatizo la wengi,wana dhana potofu ya kuwa wanawake wasomi wanaringa.Hiyo ni tabia yake tu huyo dada wala haina uhusiano na usomi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…