Is this a reason why u ddnt secure a loan?

Joined
Sep 10, 2013
Posts
76
Reaction score
21
Moja ya watumishi wa HESLB amenukuliwa akisema kuwa wengi ya waliokosa mkopo wana sifa hizi1. Wamesoma private schools eiher o-level au a-level.2. Ni equivalant applicant yani wana diploma.3. Walishawahi kupata loan kabla na labda waka disco chuo au wakaacha chuo.4. Course walizopangiwa ni non priority.Amini usiamini, asilimia 90 ya walioenda bodi leo wana sifa hizo, aliyekuwepo bodi leo atanisaidia juu ya hili!
 
kwa hlo la non-priority sio kwel maana hao wa non weng sana tu wamepata mkopo.
 
Zimebaki siasa tu now akuna majibu ya kuridhisha kuhusu tuliokosa mkopo
 
Kilichobaki ni kwenda nao sambamba. Kama hawajui kujiuzuru tutawafanya waache kazi kwa lazima.
 
------- zao wangejua hayo ya shule private cwangetu eleza mapema basi warudishe 30,000 zetu
 
Kigezo chao ni
1. Kama umeweza kusoma private school secondary then wewe una uwezo wa kujisomesha.
2. Kama umesoma diploma ina maana uwezo wa kujiendeleza unao.
3. Kama walikupa mara ya kwanza uka disco then rejesha kwanza ndo wakupe tena!
Hakya ya MUNGU bodi hawana akili timamu!
 


Mdau hapa naona haiko sawa.
Watu tunahistoria ya kusomeshwa na wazazi wetu kupitia SACCOS kwa mikopo na marejesho ya fedha kidogo kidogo za mama zetu wakaanga vitumbua.
Tumesoma shule za private kwa kuwa ni serikali hii haikutaka kutupangia shule zake kwa kuwa ufaulu wetu ulikuwa ni wa kiwango cha chini.
Hali imeendelea hivyo hadi katika ngazi za diploma, na hii yote ni katika kutafuta sifa linganishi za kutuwezesha kufika huko kwenye vyuo vikuu, na Mungu amesaidia hili.
Sasa serikali ikifikiria sisi kupitia njia mbadala kuwa tuna uwezo inakosea kwani nayo pia ni sababu ya sisi kusomeshwa shule na vyuo hivyo, na si kwamba wazazi wana pesa la hasha; wamekopa sana ktk SACCOS hizi hadi wamepoteza sifa za kukopesheka tena kwa kuwa madeni walionayo ni makubwa mno.
Kwa wale waliopewa wakadisco, bado pia wana haki ya kupata tena siku wakimaliza masomo wakafaulu basi watarejesha madeni.
Ni ukiritimba wa serikari na watu wachache iliowakabidhi hatamu za kuvisimamia vyombo hivi vya fedha.
 
hilo la private schools halina mshiko wakati wote. je kama wazazi wakati huo walikuwa na uwezo lakini ghafla bin vuu likatokea kingamo ambalo kipato kimerudi ground zero!! hakukuwa na follow up questions kama miaka iliyopita.

waliokosa pia waangalie kama waliangalia kwa umakini orodha za waliokosea kujaza fomu na viambata vyake. Wakati orodha inatoka baadhi walikuwa JKT - sijui kama kule walipata fursa ya kufanya marekebisho
 
binafsi watu huwa tunakosa haki zetu kwa 7b hatujajua jinsi ya kudai mimi Kesho narudi tena HESLB maana MKURUGENZI kasema ataongea nasi ukiachana na walevi wa leo wanajb utazan pesa zao baada ya hapo nitaweka msimamo binafsi nmechoka na ufedhul huu ukfanya UZEMBE utakosa na CHUO itakuwa only a dream time is now ,IS BETTER TO DIE AS A FREE MAN THAN TO LIVE AS A SLAVE,;walishazoea kutikiswa
 
una appeal kiaje...nipe info mkuu...je una appeal mwaka huu au?

heslb watatangaza muda wa ku-appeal lakini unakuwaga ni ndani ya siku 90 tangu kufungua chuo. Utajaza tena form online na kuzilipia, utaziprint na kuambatanisha document muhimu zinazonyesha kuwa wewe kweli unahitaj mkopo. Document hizo zinaweza kuwa labda barua ya mfadhil aliyekusomesha sekondar, barua ya m-bunge akithibitisha huna uwezo au labda chet cha kifo cha mzaz kama amefariki hapa katikati (tangu deadline ya maombi hadi sasa)
 

ndio maana unapewa nafac ku-appeal ili uonyeshe hayo yote!
 
duh..sasa wanasubiri vyuo vyote vimalize kufungua au wanasubiri chuo kipi... maana kuna vyuo vishafunguliwa
 
duh..sasa wanasubiri vyuo vyote vimalize kufungua au wanasubiri chuo kipi... maana kuna vyuo vishafunguliwa

chuo husika! Mfano SAUT wameshafungua hivyo bodi wana count tangu semister ilipoanza! Rudi jukwaa la elimu kuna post ina title "je unataka ku-appeal heslb?" hapo kuna maelezo ya mpango mzima wa kuappeal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…