Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #21
That‘s not love...it‘s lust!
Love should come first!Loving lust; lustly loving.. love without lust aint that love..
Love should come first!
When lust beats love in the begining believe me it will do the same in the end...
What is love?
Love should come first!
When lust beats love in the begining believe me it will do the same in the end...
An action that carries alot of affection and emotions with it!!
Lizzy, bila kukitamani kitu (mtu) sijui hata kama nitakipenda maishani. Hivi naweza kula kitu ambacho sikitamani??
??????????Mzee DC!!!!
Its good when your in love
An action or a feeling?
Penda alafu tamani...ili siku kile kilichokufanya utamani kikififia uwe bado unakipenda!!
Jiulize kwanini vijana wengi hawachelewi kuachana?!Kwasababu wanatamani na tamaa inawaongoza kupenda..kesho akiona kingine kinachotamanisha huyoooooo anaondoka zake kwenda '‘kutaPENDA‘' kwingine!!
Ila anaependa kwanza anaweza kutamani nje ila akaendelea kupenda maana haongozwi na kutamani!
It means more when it‘s both.....
Lizzy,
Umeshasikia mtaani wanasema kuwa..."yule na ujanja wake wooote, pale kakamatika"? Hao ndio wanaume...kwanza anatamani na anakuwa tayari kutoa kila kitu alichonacho hata kama ni kubaki na boxer tu...Halafu ndo ananata kama atakuta urimbo upo. Tuko pamoja au bado??
Hicho ndo kitu pekee kinachowafanya wanaume muone mnatofautiana na wanawake...kwamba mnatamani kabla ya kupenda!!Sio kweli....mnajipa tu moyo!!Ingekua tamaa ndo inasukuma kupenda mngekua mnapenda makumi ya wasichana kwa siku....
Sio wote kuna wengine wanakuwa na upendo wa kweli, kuna wale wanaokua pamoja then love inajitokeza ukubwani, na kuna wanaokuwa wote kwa kuoneana huruma. Ila hao wengine wanatamani then wakikolezwa wanafall in love, tena hawa ndio wanafall wazimawazimaUmezingatia kuwa wanaume na wanawake wanaishi sayari tofauti linapokuja suala la haya mambo ya kiutu uzima?
Madume ya mbegu yanaendeshwa na tamaa kwanza kabla ya hayo mambo yenu ya love!
Sio wote kuna wengine wanakuwa na upendo wa kweli, kuna wale wanaokua pamoja then love inajitokeza ukubwani, na kuna wanaokuwa wote kwa kuoneana huruma. Ila hao wengine wanatamani then wakikolezwa wanafall in love, tena hawa ndio wanafall wazimawazima
An action that carries alot of affection and emotions with it!!
Hicho ndo kitu pekee kinachowafanya wanaume muone mnatofautiana na wanawake...kwamba mnatamani kabla ya kupenda!!Sio kweli....mnajipa tu moyo!!Ingekua tamaa ndo inasukuma kupenda mngekua mnapenda makumi ya wasichana kwa siku....