Is this normal?


Tembelea-www.dinahicious.blogspot.com- hilo tatizo limejadiliwa na kupatiwa majibu yakinifu na wahanga wengi walifanikiwa kurejesha furaha katika ndoa zao.
 

...naaaaam, ni kawaida tu hiyo. Endelea kumpenda mkeo, kumhurumia na kumjali kwa hali aliyokuwa nayo wakati huu,...

Mtendee haki yake ili naye akulipe fadhila kwenye 'fainali za uzeeni' ...wakati huo utapokuwa unamuacha yeye akihesabu boriti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…