Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐๐๐๐
Umewavua nguo saa nne asbh sokoni๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐ Nimewaletea msiba sebuleni
Do you care who wrote, or what has been written?. Deal with issues not a person, what he/she speaks is big lesson to every one of you.
mkenya gani asiyejua spelling za kibera eti kibras...mswahili tu huyo anaunga unga tu mitandaoni!
isitoshe pia jamaa wanasimama ndani ya hayo mabasi na kunukishana makwapa balaaNimejua sio Mkenya na kuna kasoro pale aliposifia mabasi ya mwendo kasi, jameni hayo mabasi yanawatesa Watanzania kupita maelezo, mimi nimeyatumia na kukumbana na kero wanazopitia watu kule, kuna wengi wanaomba bora daladala ziruhusiwe kurudi.
Yaani unalisubiri kwenye stendi hadi kilio, na likija limejaa mpaka milango imebana, kuna hata siku nililipia ila ikabidi nitoke nje ya jengo la stendi na kutafuta usafiri mwingine.
Hahahahaha, huu ndio usafiri wa kisasa duniani kote wanasimama, hakuna usafiri wa mijini duniani ambapo watu hawasimamishi, iwe metro, light train ama mabasi, miji yote mikubwa iliyoendelea, kama umefika Paris, Tokyo, NY, London au Cape Town.isitoshe pia jamaa wanasimama ndani ya hayo mabasi na kunukishana makwapa balaa
Endelea Kusoma Magazeti na Jf ukiota umepanda BRTNimejua sio Mkenya na kuna kasoro pale aliposifia mabasi ya mwendo kasi, jameni hayo mabasi yanawatesa Watanzania kupita maelezo, mimi nimeyatumia na kukumbana na kero wanazopitia watu kule, kuna wengi wanaomba bora daladala ziruhusiwe kurudi.
Yaani unalisubiri kwenye stendi hadi kilio, na likija limejaa mpaka milango imebana, kuna hata siku nililipia ila ikabidi nitoke nje ya jengo la stendi na kutafuta usafiri wa aina nyingine.
Nimejua sio Mkenya na kuna kasoro pale aliposifia mabasi ya mwendo kasi, jameni hayo mabasi yanawatesa Watanzania kupita maelezo, mimi nimeyatumia na kukumbana na kero wanazopitia watu kule, kuna wengi wanaomba bora daladala ziruhusiwe kurudi.
Yaani unalisubiri kwenye stendi hadi kilio, na likija limejaa mpaka milango imebana, kuna hata siku nililipia ila ikabidi nitoke nje ya jengo la stendi na kutafuta usafiri wa aina nyingine.
isitoshe pia jamaa wanasimama ndani ya hayo mabasi na kunukishana makwapa balaa
Nimejua sio Mkenya na kuna kasoro pale aliposifia mabasi ya mwendo kasi, jameni hayo mabasi yanawatesa Watanzania kupita maelezo, mimi nimeyatumia na kukumbana na kero wanazopitia watu kule, kuna wengi wanaomba bora daladala ziruhusiwe kurudi.
Yaani unalisubiri kwenye stendi hadi kilio, na likija limejaa mpaka milango imebana, kuna hata siku nililipia ila ikabidi nitoke nje ya jengo la stendi na kutafuta usafiri wa aina nyingine.
huo ni uongo. nipo Dar tangu last wikend, sijaona kitu unachoongea.
Ahsante kwa kuleta habari ya 2016,jamaa kaleta source ya a month ago...