Is this serious? Angalia [color=blue]blue[/color]...

The Son

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
459
Reaction score
58
Ni ujumbe wa maandishi niliotumiwa kwenye simu yangu tarehe 19 mwezi 7 mwaka 2013,kwa bahati mbaya au nzuri sijaweza kumuuliza mtumaji hilo swali hilo hapo kwenye 'title' kutokana na sababu zilizo juu ya uwezo wangu
 
hahaaahaa! source yako c ya kuaminika! Overrrr
 
ni ujumbe wa maandishi niliotumiwa kwenye simu yangu tarehe 19 mwezi 7 mwaka 2013,kwa bahati mbaya au nzuri sijaweza kumuuliza mtumaji hilo swali hilo hapo kwenye 'title' kutokana na sababu zilizo juu ya uwezo wangu

sirnames????= surname
 
sirnames????= surname

Nimeuliza 'is this serious?' kisha nikakuambia uangalie penye blue,
hicho ulichorekebisha ni moja ya vilivyopelekea niulete huo ujumbe wanajamii waseme walichonacho.
 
Ni utani kama yalivyo matani mengine,Makambako hakuna JKT,wala hakuna Mbeya JKT,pia hakuna Kigoma JKT. Over.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…