uwekezaji haujawai leta maendeleo popote pale duniani, nchi inaweza kuendelea pekee kama njia kuu za uchumi ziko chini ya serikali, haiti walileta wawekezaji kila idara toka miaka ya 50's, zimbabwe hadi walisifiwa na inayojiita jumuia ya kimataifa kua ni mfano wa kuigwa na nchi za africa, wako wapi sasa? taifa linalokua halina manufacturing industry na likaendelea halijawai toka labda nchi za kiafrika za sasa ivi ndio zilete uo muujiza, andalia izo tiger economies zote zina strong manufacturing industry, brazil,malyasia,singapore,korea,argentina,india etc
wawekezaji wanaitajika ktk joint venture tu na si kuendesha completely na izo tiger economies wawekezaji wamekuja ktk form ya joint venture tu!